Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wanajf Nina Samsung Galaxy core prime lte toleo LA mwaka huu,ni simu nnayotumia binafsi na nimeweka tempered glass screen protector,ina 4g lte na good battery life,binafsi ni heavy user kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samsung TAB4 for sale #Imetumika masaa 168 toka inunuliwe August mwaka huu #16GB Internal Memory #Clean-Haina michubuko kabisa #Ina uwezo wa kukamata 3G, GSM and WiFi. #Utapata na cover...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Almost new. Model SM-T531, capavity 16Gb, memory 4Gb. Screen 10.1, ina screen protector, nice cover, for price and more info whatsup me 0719123216
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Kiatu cha kijanja cha kike 40000 tu, mikoba pia ipo njiani inaingia December mwanzon 45000-50000, 0629586817
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Usipitwe bei sawa na bure. Tsh 55000 0629586817
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bajaj inauzwa 2.4mil iko dar Marekebisho ni.: 1.turubai 2.rangi upya ila si lazima 3.kuchomea badhi ya sehemu 4.viti matengenezo 5.dashbod 6.stater ya bajaji Mawasiliano..: +255765817854...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Pata ofa ya perfumes nzuri za kike na kiume kwa bei ya punguzo kutoka 50,000/= had 30,000/= kwa seti kubwa na kutoka 40,000/= had 25000/= tunakusanya oda had ijumaa ya wiki hii tar 27.... Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Wananchi, nauza laptop yangu; dell inspiron 4030. HDD ni 300gb, RAM ni 4gb, processor ni 2.13 duo, memory card slot na cd/dvd player, inakaa na chaji kwa saa 2. windows 8 iko tayari...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
natafuta kiwanja kilichopimwa kigamboni kati ya kibada, mikwambe, mji mwema, kibugumo, gezaulole, na maeneo ya jirani. sharti kiwe kimepimwa. kama unacho au dalali nifuate pm. Asanteni, nipo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Viwanja vipo mtaa wa Kongowe halmashauri ya mji Kibaha. Viwanja vipo umbali wa kilometa 2.5 toka barabara kuu iendayo Morogoro. Kuna umeme, Maji na barabara za mitaa zote zimechongwa. Viwanja...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Mwenye line hizo tajwa hapo juu nahitaji napatikana Dar es Salaam.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza kiwanja Mbagala Mbande, Stand Kuu. Kwa mawasiliano zaidi Whatsapp 0778080031
0 Reactions
5 Replies
2K Views
BEI NI 8.3M, Maongezi yapo. Gari ipo katika hali nzuri, ipo Dar. odometer reading: 89,000km 4 cylinders. Karibuni. Mawasalianao: 0713660281, 0785252147
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwe maeneo ya Chanika Ukubwa 40?40 Bei maelewano Nb: Dalali ahitajiki
0 Reactions
6 Replies
2K Views
engine 16 price 45m for information call Me 0774108304
0 Reactions
0 Replies
644 Views
engine 16 price 45m for information call Me 0774108304
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Huna haja ya kuhangaika kuweka vikao vya harusi kutafuta MC yoyote Tanzania na nchi jirani ss tunarahisisha maisha unaweza kusherekea sherehe yoyote kupitia kampuni yetu itahakikisha unapata...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Haina tatizo lolote. *Ipo morogoro. *Picha zimegoma km ni serious buyer ni pm # ya WhatsApp nikutumie.
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Wakuu Kiwanja Kinauzwa Hapa Kunduchi Eneo La Meko Hatua Chache Toka Barabara Ya Lami Ya Mwenge Tegeta Kina Ukubwa Wa 25*35 Bei Mil 10 Kwa Mazungumzo Zaidi Nitakukutanisha Na Mwenyewe Nicheck...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa mbagala zakhem sh million 3, kina ukubwa wa 82 kwa 45 mita, ukihitaji nitafute kwa namba 0652644236
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom