wanajf
Nina Samsung Galaxy core prime lte toleo LA mwaka huu,ni simu nnayotumia binafsi na nimeweka tempered glass screen protector,ina 4g lte na good battery life,binafsi ni heavy user kama...
Samsung TAB4 for sale
#Imetumika masaa 168 toka inunuliwe August mwaka huu
#16GB Internal Memory
#Clean-Haina michubuko kabisa
#Ina uwezo wa kukamata 3G, GSM and WiFi.
#Utapata na cover...
Bajaj inauzwa 2.4mil iko dar
Marekebisho ni.:
1.turubai
2.rangi upya ila si lazima
3.kuchomea badhi ya sehemu
4.viti matengenezo
5.dashbod
6.stater ya bajaji
Mawasiliano..:
+255765817854...
Pata ofa ya perfumes nzuri za kike na kiume kwa bei ya punguzo kutoka 50,000/= had 30,000/= kwa seti kubwa na kutoka 40,000/= had 25000/= tunakusanya oda had ijumaa ya wiki hii tar 27.... Kwa...
Ndugu Wananchi, nauza laptop yangu;
dell inspiron 4030.
HDD ni 300gb,
RAM ni 4gb,
processor ni 2.13 duo,
memory card slot
na cd/dvd player,
inakaa na chaji kwa saa 2.
windows 8 iko tayari...
natafuta kiwanja kilichopimwa kigamboni kati ya kibada, mikwambe, mji mwema, kibugumo, gezaulole, na maeneo ya jirani. sharti kiwe kimepimwa. kama unacho au dalali nifuate pm.
Asanteni, nipo...
Viwanja vipo mtaa wa Kongowe halmashauri ya mji Kibaha.
Viwanja vipo umbali wa kilometa 2.5 toka barabara kuu iendayo Morogoro.
Kuna umeme, Maji na barabara za mitaa zote zimechongwa.
Viwanja...
Huna haja ya kuhangaika kuweka vikao vya harusi kutafuta MC yoyote Tanzania na nchi jirani ss tunarahisisha maisha unaweza kusherekea sherehe yoyote kupitia kampuni yetu itahakikisha unapata...
Wakuu Kiwanja Kinauzwa Hapa Kunduchi Eneo La Meko Hatua Chache Toka Barabara Ya Lami Ya Mwenge Tegeta Kina Ukubwa Wa 25*35 Bei Mil 10
Kwa Mazungumzo Zaidi Nitakukutanisha Na Mwenyewe Nicheck...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.