Nauza kiwanja/shamba Arusha

Nauza kiwanja/shamba Arusha

displayname

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,972
Reaction score
1,091
Kwa wanaopenda wekeza katika Ardhi aidha kufuga au kulima au Kujenga nina eneo langu nauza kwa bei poa kabisa hekari moja kwa 6M ni nazo mbili eneo la Bwawani/Nduruma Mkoani Arusha.

Pia lipo karibu na miundombinu ya maji pia pana faa hata kwa kilimo cha umwagiliaji.

Sereous buyers katibuni PM tufanye biashara.

Kwa madalali pia njoo PM tufanye biashara.
 
Back
Top Bottom