Sasa unaweza kuletewa samaki aina ya Sangara na Sato fresh kutoka Mwanza hadi hapo kwako.
Nitumie private message maarufu kama pm ukinifahamisha unapatika eneo gani hapa Dar, kiasi unachoweza...
NI MACK ll 1G GRAND KILA KITU KINAFANYA KAZI NA PIA NIMEWEKA HAPO MASHINE NYINGINE KUKUAMISHA ZAIDI UNAWEZA KUJA NA FUNDI WAKO ATEST PICHA ZAKE NINAZO NITUMIE NAMBA YAKO YA WHATSAPP NIKUTUMIE...
Habari zenu wakuu,jamaa na marafiki..poleni na majukumu ya wiki nzima na ni imani yangu kua mko na weekend nzuri na salama...
Wiki iliyopita katika mihangaiko yangu ya kutafuta office ya...
Toyota Cami ya 1999, Number T 696 AWC, Rangi ni SILVER
4WD, Engine 1297cc, Low Fuel Consumption, Odometer 145000km
Full AC, Music, Security System, Active Licence & Insurance till August 2016
Gari...
kwa anaehitaj laptop aina ya marc bookpro kampun ya apple inauzwa bei ni milion moja na nusu maongez yapo sifa haddisk gb 500 ram six bado mpya piga 0713688120 kwa biashara na maelezoo screen nchi 13
Wanajopo kuna hili Tangazo nimeliona kwenye zoom na bei yake nikastuka saana.
Ila sijajua utendaji wake na uwezo wake,nikaona kwamba ni kiboko ya Majambazi
Yaani unaweza kurusha ki hellcopter...
Salaam wakuu
Najihusisha na biashara ya kuuza Mbuzi wa kuchinja,yaani ndafu wazuri kwa bei nafuu kwa jumla na rejareja. Mbuzi nawatoaga vijijini na kuwanenepesha, Tupo Arusha kwa anahitaji...
Habari zenu wakuu!!
Mimi ni kijana mwenye utaalam katika shughuli za muziki ikiwa ni pamoja na uwezo mkubwa wa kupiga vyombo vya muziki live na pia kwa shughuli za studio,hivyo kwa mmiliki yeyote...
Habari za shughuli wana bodi. ni mwanafunzi wa chuo tajwa hapo juu. nahitaji chumba kwaajili ya kupanga. kiwe na kodi ya kati ya Tsh.50000-70000 kwa mwezi. kiwe self contained na maji yasiwe shida...
Nissan supplies only the best quality vehicles and this car is yet another example from their impressive fleet. This Nissan Navara 2008 comes with a Manual transmission system as well as other...
Kuna nyumba au vyumba vinapangishwa na sio mbali na chuo cha imtu ni mwendo wa dakika 5 _ 10 kwa kutembea kwa miguu
dalali hatakiwi! Na wanachuo wanao hitaji wani pm kwa maelekezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.