Nikopesheni hela jamani

Nikopesheni hela jamani

Sir Teacher

Senior Member
Joined
Nov 16, 2015
Posts
111
Reaction score
99
Mwenye nyumba ananidai kodi jamani na hela sina kwa sasa kuna jamaa nlimukopesha nae mambo hayajakaa vzr. Naomben ndugu zangu mnikopeshe laki na nusu ntarudisha ijumaa ya wiki lijalo
 
Hahahahahah nacheka km mazuri vile
 
Hela ipo tatizo ni moja tu Je unakopesheka?
 
tatizo mnaishi na wenye nyumba wenu kwa maigizo...

kwani ukimwambia mtu umekwama kodi utamlipa mwez ujao anakufukuza??

mbona binafsi kodi nishapitiliza mara nyingi napokwama na nimeshailipa mapema mara nyingi napozifumania na mwenye nyumba anaelewa...

ishini na watu vizuri.. onyeshen maisha yenu halisi.. sio kuishi kwa maigizo na usaniii
 
Back
Top Bottom