Tt4tat boy
Member
- Nov 26, 2015
- 45
- 11
Samahani wakuu naweza pata wapi incubator inayotumia mafuta ya taa ama solar yenye kubeba mayai 150 tuu pia bei ni tsh. ngapi kwa anae faham bei yake pia .PLEASE NAOMBA MSAADA
Kwa hapa Tanzania ni ngumu kuzipata, ila ukitaka kuagiza Hongkong ni rahisi, mimi nimeziagiza sana najua. Kwo wewe jipange tu uagize nje, na kama huwezi mwenyewe kuna kampuni maalumu ya watanzania ya kuwaagizia watu bidhaa nchi za nje, wacheck hapa www.kalumbilo.onlineSamahani wakuu naweza pata wapi incubator inayotumia mafuta ya taa ama solar yenye kubeba mayai 150 tuu pia bei ni tsh. ngapi kwa anae faham bei yake pia .PLEASE NAOMBA MSAADA