Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari. Sinabudi kuwashukuru wateja wangu wote, ambao mmekuwa ni sehemu ya mimi kuwa mimi leo, mmeyabariki maisha yangu sana, mmenisupport sana, pia mmekuwa sehemu ya mimi kujiamini na kuogeza...
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Wanajukwaa natanguliza shukrani zangu #Nampango wa kujenga nyumba. Sina uelewa mpana sana kuhusu gharama ya kujenga nyumba # Nahitaji kujenga nyumba ya kuanzia tofali za block 2800-3000 na bati 1...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
bei ni mill 17 zimetumika miez 2 zipo katika hali nzur bei negotiable zipo katika hali nzur zipo dar ukonga banana kwa picha whats app 0712505049 kwa maswali na maelezo 0714288996
0 Reactions
10 Replies
4K Views
eshima kwenu brothers and sisters.. Nyumba ya uani inapangishwa ubungo external nyuma ya ukuta wa export processing zone.. 1.Ina umeme na maji ( ya dawasco) 2. Ina vyumba viwili vya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KWA MWENYE EARPHONE APPLE TUWASILIANE HAPA 0783380123
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nahitaji pesa ya haraka nikaona kimfaacho mtu chake nauza simu yangu ya samsung A5 bei 360000 tu, nimeitumia mwezi mmoja tu bado mpya kabsa niko dar 0714702720
0 Reactions
1 Replies
2K Views
IPO DAR IMETUMIKA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI TUUH AIJAMALIZA ATA MWAKA, SABABU ZA KUUZA TUMEAGIZA GARI NYINGINE ALPHARD INAINGIA JANUARY KWA MAWASILIANO 0716628257 DALALI AWATAKIWI KABISA MIMI NI...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari... Nahitaji kununua Google AdSense account. Ahsante my contacts 0713774746 ( whatsapp)
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza ipad 2 internal 64 gb bei ni 370000 ipo on good condition na cover yake na samsumg s4 internal 16gb...ram 2gb na camera 13 mp bei ni 380000 haina michubuko yyte..imetumka 1month.. mwnye...
0 Reactions
2 Replies
890 Views
Used for 4 month for more information contact 0714007173
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nahitaji mbuzi kwa ajili ya kufuga, wakipatikana wanaozaa watoto wawili itakua poa zaidi. Idadi ni 50-200. Mtu yeyote anaeweza kuniuzia au kuniunganisha na muuzaji awasiliane nami kwa namba +255...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
natafuta egg incubator hata kama ni used bei maelewano
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jukwaa, Kwa anayehitaji sim aina ya samsung galaxy s4 anicheck kwa no 0715 546818, bado iko poa sana ina mwezi na nusu tangu nitumiwe na bro toka Australia, bei ni tsh laki nne (400,000)...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mtu yeyote ambaye ni dereva mzur ambaye anasafiri kwenda Tabora kati ya kesho kutwa na J5. Nina gari lakini sio dereva mzur hivyo natafuta dereva anayesafiri kwenda Tabora. Mimi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Nyumba Inauzwa Jijini Mwanza Wilaya Ya Ilemela Bei Million 80 ... Nyumba Ina 1 Master Bed Room, 3 Bed Rooms, Sitting Room, Dining Room, Kitchen, Store, Public Toilet And Bath Room ... Kwa Yeyote...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
npo temekeee apo juu $ ni makosa ya uwandishiiii bei sh.75000 elfuuu
0 Reactions
22 Replies
3K Views
WADAU SALAAMU MITSUBISHI CANTER INATAKIWA HARAKA SANA, PESA MKONONI ILIYOPO NI TSH 11 MILIONI KAMA UNAYO UNAWEZA NICHEKI
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Habari wana JF, Kuna kiwanja kilichopimwa na kina OFA kinauzwa, Kina ukubwa wa 592sqm, Kipo maeneo ya Chidachi West, mbele kidogo ya St John University(Kikuyu). Maeneo yameshaendelezwa na yana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo Dar Kitunda tuwasiliane 0714679434 ni mtr cg. Wakuu nashindwa ku attach photo tu njoo whats app nikutimie picha.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…