Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nataka laptop dell iwe inakaa na chaji zaidi ya masaa 3 ram at least 1gb hdd at least 250 gb cd and dvd rom-working keyboard iwe nzima usb-working kama ipo ni pm na picha yake
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Habari? Natafuta mwenye Toyota vitz new model ya kununua.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
mzigo huo hapo uko powa sana, vodafone 785 kwa tsh 70,000 tu. inapatikana mwanza
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Bei 8.6 mln Rangi ya silver Namba c Gari iko vizuri Sana kuanzia engine na bbody....picha zinasumbua Ku upload humu jf..kwa mtakaji serious ni inbox nnamba yako niku whatsap...na kwa mawasiliano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Used Transcend External HDD for sale Size; 320GB Ina movie zaidi ya 300(MIA TATU) Price; tsh;105,000/= Call/Text/Whatsapp 0689341445
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nauza Toyota IST, iko DSM kwa TZS 8.5M tu. Ni nzuri hutajuta. Tuwasiliane 0767555147.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja CHENYE HATI kiko Burka (MAWALA ESTATE) cha biashara/makazi, kiko kwenye kona (corner plot), chenye ukubwa wa robo heka (Sqm. 1,077). Kwa mawasiliano piga 0767555147 Plot for SALE TZS...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mimi naomba kutolewa ushamba kuwa kipi kina speed kubwa kati ya hivi viwili? modems ninazozizungumzia hapa kwa sehemu kubwa ni D-Link Modem USRobotics Modem...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza Ahsante uongozi wa JF kwa kunikubalia akaunti yangu. Mimi ni Freelancer Wakala karibia mitandao yote. Ukiwa na tatizo usihofu tupo kwa ajili yako! Au utapiga namba 100 kwa msaada zaidi...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nauza dell intel core2 duo. Processor 2.6ghz. Hdd 250. Ram 2gb . Ni portable CPU tu bei 110,000 maelewano yapo offer ya DSM tu.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Gari aina ya CARIB inauzwa Cc 1200 Namba B Ipo condition nzuri Bei ni tshs 4 million mpaka million 3.5 mwisho. Kama upo teyari njoo nafundi wako ahakikishe mwenyewe...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ukubwa nusu heka au 2000sqm Kama unalo unaweza kunicheki kwa 0715060183 kwa mazungumzo na bei zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe na graphics mbili at least pia screen touch, ram 8 HDD 1Tb bajet yang ni mia 900 hadi 1m.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa mikocheni B karibu na kanisa la Assemblies of God. mawasiliano piga simu namba 0755 092 734 au whatsapp 0754 810 853 bei maelewano
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ziwe ndogo(slim),ziwe zinacheza flash,ziwe katika hali nzuri.0658327429 dsm
0 Reactions
1 Replies
645 Views
Nahitaji fundi wa kunitengenezea banda la mbwa kama hili hapa. Fundi awe anatoka maeneo ya Hong la mboto, Pugu Kajiungeni au Kigogo fresh.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Shamba linauzwa lipo katika Kijiji cha Mtakuja-Kiwangwa. Lina ukubwa wa Ekari 35. Lipo umbali wa km 4 kutoka barabara kuu itokayo Bagamoyo -Msata. Limepandwa mitiki na miembe Bei ni Tsh milion...
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Habari naomba mnijuze cmu bora ya tecno yenye 4g na ina camera nzuri
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mbweni JKT mita 400 kutoka baharini. Sqmt 1550. Hati ipo Price: Tsh 100m contact: 0756 178 494
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…