Habari
Nahitaji MTU wa kunipa hiyo service Na tutor ya kuanza kupata niche blog topic Na WordPress seo template then kuiweka iwe top katika all search engine ili mwisho wa siku nipate organic...
Beach plot for Sale(4 acres) 24 million
The plot is strategically positioned for invest
iment purposes. The plot is located 40 km from ferry dar-es-salaam.
For more infomation call
+255 762 786 606
Nauza blackview ultra a6 same kama iPhone lakini ni android..imetumika miezi miwili haina mkwaruzo wala mchubuko rangi silver na black camera ya ukweli pia unaweza badilisha kutoka android kwenda...
Nyumba yenye kila kitu ndani inapangishwa jijini Mbeya. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko kubwa, kodi yake kwa mwezi $ 750, mazungumzo yapo
Kwa mawasiliano...
Jengo lenye ukubwa wa eka 2, kwa ajili ya matumizi ya yadi, linapangishwa Uyole mbeya. Kodi Tshs. 300,000/=tu kwa mwezi.
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818...
Kiwanja cha barabarani kinauzwa maeneo ya Uyole Mbeya. Kipo barabarani, kinafaa kujenga majengo ya biashara, hostels nk. Kinauzwa 250m
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba...
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule choo, jiko, self contained, inauzwa maeneo ya Iwambi, jijini Mbeya Tshs.60m. Mazungumzo yapo.
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba...
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko, selfcontained inapangishwa maeneo ya Sae, Mbeya, kwa kodi ya Tshs. 400,000/= tu kwa mwezi. Ina nyumba ya uwani yenye...
Habari zenu waungwana, nahitaji Generetor used yenye uwezo wa kiwasha tv receiver radio computer na taa kama 5 hivi bajeti yangu 150,000. ikipatikana moshi arusha itakuwa poa zaidi mimi napatikana...
Wana JF poleni na mihangaiko ya maisha na natumaini nyote wazima.
Naomba msaada mwenye kujua sehemu ambapo wanauza vifaranga vya kuku wa kienyeji au machotara(nasikia nao wanafafana kitabia na wa...