Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba linauzwa Mwanzo mgumu Kisarawe mkoa wa pwani, lina ukubwa wa ekari tano bei ya kila ekari ni tsh 2,500,000 gari inafika mpaka shambani, maelewano pia yapo 0714621548
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku zote asikuambie mtu, ukitaka umkamate mwanaume shutu umpikie chakula kitaaamu na kinachovutia basi utapendwa wewe sio kila siku mwanaume anaenda kula hotelini tuu wakati wewe mwenyewe ukipika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wadau natafta smartphone used kwa mwenye nayo anipm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wadau ninapikipiki yangu aina ya skymark commuter juzi ilipata ajali na kuvunjika vifaa vyote vya mbele. Tatizo upatikanaji wa spare zake ni utata naomba kwa anayejua zinapopatikana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zimewasili mjini Ni SHUKA 2 FORONYA 4 6*6 COTTON 48,000/- TUU DAR UNALETEWA/MIKOANI TUNAWATUMIA KWA UAMINIFU MKUBWA SANA NA KWA HARAKA CALL/WHATSAP US #0769633450 /#0713691101 Follow us instagram...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tusaidizane jamani .... Basi nzuri mwanza kwenda Dar ni ipi?!?
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Nyumba 3 zinauzwa Mwanza bei 85ml contact: 0768900863 Ziko katika eneo moja mraba 40 kwa 40 ziko Mwanza nyuma ya kiwanda cha coca cola karibu na mnada wa ng'ombe. Nyumba kubwa ya kwanza ina...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa Mwanza eneo la Busenga/Cocacola. Nyumba ina 3 bedroom, kimoja master, public toilet ndani, library, jiko, dining, sittingroom, store, Pia kuna maji na umeme, kuna eneo kubwa la...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna Uncle wangu anatafuta mshitiri wa eneo lake lililoko Mtoni Kijichi Kama ungependa kuwa mshitiri wa eneo hilo basi tuwasiliane kwa maelezo ya kina Lina ukubwa wa 34x18 na ameshaweka banda...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wanajamvi habari za asubuhi, Leo nimeibuka na kuomba msaada wa mrejesho juu ya bei za vyumba hapo mbinga mimi ni mgeni hapo napenda chumba chenye self contained au kingine kila kiwe kizuri wakuu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF, offa kabambe kwa watu wanaofanya biashara ya mambo ya sherehe kama vile mc, mapambo, mavazi, n.k. Offa ni mwaka mmoja bure tembelea website Nahitaji::Home. Karibuni wote kutangaza
0 Reactions
0 Replies
917 Views
https://m.facebook.com/Youthvision-On-society-Development-Tanzania-850669038365478/
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Habari zenu wadau Ni matumaini yangu kua mu wazima Na mnaendelea Na majukumu ya Kila siku . Nina uhitaji wa tv orijono Kati ya aina hiz lg ,Samsung, au Sony Ila iwe Ni mpya kabisa je itakua Ni...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
The company provides different ICT solutions to all customers. We sell different products based on new technology with advanced quality. We also provide customer care to all of our customer who...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
office ina vyumba vitatu ipo kwenye mazingiraa mazuri na salama ulinzi upo wa kutosha ipo karibu na City style Hotel hapa Dar es salam na pia karibu na kituo cha daladala cha Mawasiliano. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninapangisha frem mbili kwa pamoja, njia ya Tangibovu-Goba, zinafaa kwa mini-supermarket. Tayari nilikuwa nimeshaweka shelf kama picha zinavyoonesha. wasiliana kwa simu +255743831889 au PM kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Model ni sony vaio model pcg-61a11l Pamoja na spiker moja ya upande wa kulia.. Kwa sasa napatikana kigoma yeyote anaehusika na hii makitu tuwasiliane Namba ni 0783444324, unaweza ukanipata pia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Hard disk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
0 Reactions
1 Replies
857 Views
Gari ni ya mwaka 2005 capacity engine ccm 990 imetembea km 52400 no DEX Picha nitaweka asbhi kukiwa na mwanga Mawasiliano 0715060183 0756060183
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wadau Sabuni za kigoma zmetengenezwa kwa mawese Ni nzuri hazikati povu kwenye maji ya chumvi Zinapatikana kwa bei nafuu bei ni kuanzia ; 1800 1700 1600 Kwa mche Ukiwa interested ni PM
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…