Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama kichwa cha Tangazo kinavyojieleza,ninao uwezo wa kusuooly ngozi kavu 1000 za mbuzi kwa kila mwezi. Alie na uhitaji njoo PM na offer yako. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza printing machine, KORD 62,na paper cutter kubwa polar , bei nzuri karibuni 0762576878,
0 Reactions
0 Replies
951 Views
MASSEY FARGUSON COMBINE HARVESTER INAUNZWA Tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) ipo imara sana,na ni simple sana kuifanyia matengenezo pindi inapo haribika.. Kutoka...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Tunafanya embroider kwenye unifom/shati/t shirts/blouz n.k kwa ajili ya wafanyakazi,wanafunzi na kwa ajili ya makampuni kwa gharama nafuu sana.Pia tunashona uniform kwa ajili ya kampuni au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza tractor massey ferguson 178 Ipo kwenye hali nzuri.. zilitoka Denmark.. ipo mbweni Daresalaam.. mawasiliano zaidi tlf.0714242879 bei ni 19,500000..
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Land cruiser vx Limited 1994, 4100cc petrol engine clean condition for 23m call 0769038065
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Pazia Pazia Pazia Meter moja 25,000 Lililoshonwa tayari 1.5m upanax3murefu=42,000 Karibuni Tabata Kimanga Mteja unaletewa ulipo its free delivery Call now/whatsap now 0769633450/0713691101
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza viwanja viwili vyote vinaukubwa Wa 20/20....vipo mbezi malamba mawili...vinafikika kwa urahisi....bei milioni 8.5 kwa kimoja.....tuwasiliane 0712823376
0 Reactions
8 Replies
3K Views
-Pata Digital Camera ufurahie kupiga picha na mpenzi,ndugu,jamaa na marafiki. pia inauwezo mzuri wa ku-record videos -Brand: SONY (Brand inayoaminika zaidi) -Condition: Used (But in good condition...
0 Reactions
2 Replies
675 Views
simu bado mpya kabisa, napatikana dar. bei 400k
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yah niko vizuri sana kwa kazii iii kwa Zaid ya miaka 10,iwe kwaushauri kuhusu umeme usisite au kukufanyia kazi kwenye nyumba yako unayo jenga
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I am an overseas based Tanzanian builder, I am interested in returning to Tanzania and carrying out the same business, I would like to make contacts with people in this field, who can give me...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Tunasambaza na kuuza samaki aina ya sato na Sangara kwa bei ya Jumla. Tuwasiliane 0715529896 au 0684880784
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba ipo kisemvule nje kidogo ya dar ina master na sitting room na choo cha ndani na frem moja pia kuna uwanja wa kujenga nyumba kubwa eneo ni tulivu.bei ni milion 26 nichek 0718097972 kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mteja unaletewa ulipo its free delivery Call now/whatsap now 0769633450/0713691101
0 Reactions
5 Replies
931 Views
Nauza laptop yangu aina ni HP Compaq Presario CQ 50, ina 2GB Ram, Speed 2GHZ, na 150GB. Haikai na chaji, pia feni ni mbovu .bei laki moja na nusu. Pungufu unaongea
0 Reactions
10 Replies
3K Views
natafuta bale la mitumba kwa 60,000/= tu. la nguo/magauni ya watu wanene. Namba yangu ni 0719 252523
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Njoo watsaapp 0753377317 au piga 0714890195 , mi npo Dar bei 200000
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Nahitaji dishi, zamani yalijulikana kama ungo, la saizi ndogo (si yale makubwa utadhani nyumba ni studio ya kurushia matangazo). Ni vyema ukaweka bei na kampuni iliyotengeneza.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Natafuta touch ya Sony xperia e3 iwe mpya sababu kariakoo nimekosa ..au kama unaeza nambia wapi nitapata
0 Reactions
4 Replies
636 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…