Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Iphone 6s 64gb silver inauzwa imetumika miezi miwili ipo na box yake kasoro earphone zimepotea mwenye kuhitaji anipigie bei ni 1450000 0713439364
0 Reactions
6 Replies
987 Views
Mada inajieleza,natafuta gari kati ya hayo matatu bajeti milioni 6 fixed iwe Namba C/D kilometre chache haijapata ajali wala kupakwa rangi. Kama una gari tofauti na hiyo eleza ubora wake cc na...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafuta tecno y4
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Closed
FURSA! FURSA! Plot inauzwa SINZA MORI INATIZAMA SHEKILANGO ROAD,UKUBWA METER SQUARE 900. INA NYUMBA YA KUISHI, FREMU ZA BIASHARA NA BAA UPANDE WA BARABARA. Imepimwa na ina hati. Jaman fursa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu, Natoa factory unlock services kwa mobile phones, kupata bei na muda simu yako kuwa unlocked itachukua nimeweka hapo. Kwa walio Dar utanilipa baada ya kuwa nime-unlock simu yako...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mawasiliano 0783085858.0769085858.0715075858
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sabakher Wadau; Nina Ofis Yangu Hapa Morogoro Karibu Na Hospitali Ya Mkoa! Kutokana Na Usimamiz Mbovu Na Nahama Kikaz Nataka Kuhusu Huo Mzigo Wote!! Inshort Nakuuzia Biashara Nzima Maana Nimelipa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
AINA: DELL INSPIRION CO i3 RAM: 4GB HDD: 500GB PROCESSOR: 1.8Ghz MUDA TANGU INUNULIWE: 9months MUDA WA KUKAA NA CHAJI: masaa 4:30 mpaka 5 Ikona hali nzuri na haisumbui Bei haina longolongo: Laki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosea nahitaji producer wa kunifundisha jinsi ya kurecord vocal na kufanya mixing(mastering) awe ni wa mwanza maana ndo naweza kua nakwenda kwa urahisi
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza kitanda na godoro ukubwa nin ft5/6 nipo mikocheni bei ni nzuri no 0713361744
0 Reactions
5 Replies
2K Views
[/IMG]Vinauzwa bei maelewano kama unavyoona kwenye picha vyote
0 Reactions
0 Replies
609 Views
Habari wadau, ninazo stainless steel kwa ajili ya matumizi kwenye hospital, catering na kazi za utafiti. Kila moja bei yake ni shs 15,000. Mwenye uhitaji anaweza kuwasiliana na mie whatsapp yangu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
gari toyota ist inaitajika iwe chin ya kilomita 80 elf...... black..... 2004yrs number D..... mwenye nayo anicontact 0772 001745
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Inatumia Diesel Manual Piga: 0626 744 668. Kwa maelezo zaidi..
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta Ps2 kama unayo nicheki kwa namba hii 0653730732
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Fridge ndogo imetumika lakini ipo katika hali nzuri na inafanya kazi
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Make : TOYOTA Model : Passo Mileage : 104000km Engine size : 990cc Fuel : Gasoline/Petrol Drive : two wheels drive (2WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color : Light blue...
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Bei poa kabisa 20,000/=tsh....piga 0714045080...dar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza gari toyota harrier gari ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote. Gari ipo wilaya mpya ya busega kwa mawasiliano zaidi simu na.0756653128
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninasafirisha na kuuza (bei ya jumla) samaki aina ya sangara kutoka mwanza kwenda mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Morogoro na Dar es salaam Bei ni Sh 5,500 kwa kilo Kiwango cha chini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…