Wadau habari zenu, natumai nyote hamjambo kabisa.
Mimi ni mkazi wa huku kigamboni, ni kijana na nina familia. nina wazo ambalo naona linaweza kufanya kazi.
Kama kuna mtu mwenye shamba maeneo ya...
Nahitaji kupanga chumba, sebure na choo kwa maeneo ya kigambon, kimara au changanyikeni. Nyumba iwe fresh, mazingira mazur. Dau langu ni laki na ishirini. Napatikana kwa 0713806766. Asanteni
Kama kichwa kinavyosomeka... Naziuza zote kwa laki 3 nanusu.... Nakupa pamoja na Sim tank 2 (lita 250 kila moja) Zinahitaji service ndogo maana hazijawaka muda mrefu kdg.... Inabid ubadili oil...
Wanawake wengi wanateseka na hizi uvimbe zinapatikana kwenye uterus zinazoitwa fibroids. Fabroids ni uvimbe ambazo zinazokua kwenye uterus. Hata kama zinatengezwa na misuli ndani ya uterus, ni...
Salamu zenu wakuu!
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 26, nina Bachelor degree of science in food science and technology nimemaliza mwaka jana (2015). Tatizo langu kubwa ni ajira nimeangaika...
For business licence registration,business plan,malipo yote ya TRA (annual return(brela&TRA),estimate of income)etc...TIN certificate,renew of business licence,Accounting issues and auditing PM...
Habarini?
Ninauza choroko safi kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa bei ya jumla jumla, kwa walioko Dar es Salaam bei ni TZS 2,500/kg na kwa wengineo ni TZS 2,000/kg.
Kwa maelezo zaidi wasiliana...
Vipo kwenye cargo soon vitawasili, kutoka UK
Consumers units brand names -mk, chint,hager, British general
Mcb
Ceiling light pieces 650pieces 14
2 pieces hagermk 3 pieces
Habari zenu Wanajamvi?
Natumai ni wazima wa afya niende moja kwa moja kwenye ujumbe ulionipelekea kufungua thread hii.Kutokana na ongezeko la shughuli za ujasiliamali mfano kilimo na ufugaji...
Habari wana jamii forum,tangazo linajieleza natafuta watu wenye ujuzi na uzoefu katika masuala yafuatayo;
1: Landscaping and Grassing
2: Grassing
3: Hydroseeding
4: Trees and Shrubs
5: Soil...
kipindi cha mvua kama hiki ndio wakati mzuri kuchagua eneo la kiwanja, usije nunua msimu wa kiangazi ukajenga nyumba kwenye mkondo wa maji.
ni-pm nikuelekeze mahali pa kupata viwanja vizuri...
Habari wanajamvi,shamba lenye ukubwa wa ekari10 linauzwa kwa jumla ya Tsh.10 Million,shamba liko Bagamoyo katika kijiji cha Kidomole,kwa yeyote atakaehitaji anipm tufanye biashara.