Habari wana bodi,
Naomba kujua ni wapi kwa DSM nitapata piki piki zenye matairi manne au matatu kwa ajili ya mizunguko yangu mjini....
Nataka ikiwa mpya au Used sio mbaya.....
(Picha...
Gauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, blauz,tyt, t shert, shati, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga namba 0712288700
Unga wa uji
Mchanganyiko
1. Mahindi
2. Karanga
3. Mbegu za maboga
5. Soya
6. Ngano
7. Michele
Kwa tsh 4000 tu per kg
Naderiver kuanzia kilo mbili
Toa oder yako kwa namba hii 0714547830
Hello, Nauza Dell Mashine Ya Kusimama, Na Kioo Chake 17", Mashine Ina Milango Miwili Yote Ya Dvt( Lakin Sio Writter) , Uwezo Wake , Hard Disc Gb 160, Ram Gb 1 Processor Ni 3.2. Bei Ni Lak 2...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk.
Hello habari kwa anaetaka cctv engineer wa kufunga ,kurekebisha na hata kumonitor napatikanwa kwa namba 0715147760 tupo kikazi ,kirafiki na hata kiushauri ahsanteni
Habari za mihangaiko ndugu zangu.
Naombeni msaada wenu ndugu zangu kwenye kajishamba changu ninavibwawa viwili nahitaji kuweka samaki, moja niweke kambale na jingine niweke sato, hivyo naomba...
Hi Jf members,ninatafuta shamba la heka moja tu lililopo nje ya mji wa singida,liwe eneo linaloweza kufikika kwa urahisi mfano eneo la Mwembe mmoja na Mandewa.
6 acres land for sale located at africana mbezi beach , suitable for industries, hotel's, schools etc Price Tshs 900 mil , all necessary legal documents are available, contacts +255718261099 or...