natafuta gari ya kununua aina ya corrola spacio. isiwe mbovu, ya wizi au ina mgogoro wote, iwe na vibali halali vyote vinavyohitajika kisheria. Ni PM tufanye biashara
Mashine ya picha canon ikiwa pamoja na chaji yake, power bank, camera nauza kwa 580000 nakupa na wino na photo paper, mashine hii unaweza kutolea passort size, picha za kawaida unachagua rangi...
Nauza Noah Field Tourer. Ipo katika hali nzuri sana.
Specifications:
1. Make : Toyota
2. Model:Townace Noah Field Tourer
3. Eng Cap : 1998 cc
4. Odometer : 190,000
5. Year of Manuf : 1998
6...
Ps 2 inauzwa kwa laki na 30 tu, ina kila kitu.pad 2, flash gb 8 yenye games za gta..need for speed na pes new version, Memory card na adpta..kama unahtaj nchek 0655278055 nipo kno
Wakuu Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room kubwa ya kuweka sofa seti mbili, dinning, jiko Na store, public toilets, nje Ina Caro kubwa la maji, miti mingi migomba Na michungwa na moembe ya kisasa...
Wakuu ninahitaji mkopo wa riba 25% kwa miezi 3 tu, nitarejesha yote bila kikwazo kwa sababu issue ninayotaka kufanyia iko researched na imepimwa haswaaaa..... mwenye utayari anipigie 0754459572...
Habari wadauu
Tafadhalini natafuta machine ya kufyatua tofali za kuchoma kwa yoyote anayefaham naweza kupata wapi ama shirika, ngo na kwa bei gani?
Tofali za kuchoma na sio Hydro foam...
Kwa yeyote ambae anauza vifaa vya saloon in generally ukijumuisha machine na vingnevyo uwe mwanza tuwasiliane directly 0758323543, 0674743890 fall me in box ili turahisishe zoez.
Nimefunga duka la vifaa vya umeme na ujenzi. Nauza vitu vilivyokuwepo kwa bei ya chini Zaidi ya wholesale kariakoo. Vitu kama switchs, bulbs, tube n fittings, vitasa, main switch,sink za Choo...
watu wangu wa nguvu natumaini mambo yenu salama
wadau team tecno natumiani wazima nyie, sisi tunaenjoy mambo ya kwenye simu za milioni kwa kulipia laki zetu kadhaa, tecno inavyonipa raha...