Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ram 2gb hdd 160 dual core bluetooth wifi dvd rom betre 2hrs processor 2.40 web cam 3g 340000 0712191251
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Kiwanja kiko maeneo ya airport ilemela mwanza. Ukubwa 25*30m bei 1.8ml 0753101293
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Closed
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Ndugu Spanish tiles grade 1 45x45 cm ya floor zinapatikana Dar es Salaam ka Bei nafuu wholesale. Ukihizitaji tafadhali PM. Sihitaji dalali ila wateja.
0 Reactions
39 Replies
14K Views
natafuta gari ya kununua aina ya corrola spacio. isiwe mbovu, ya wizi au ina mgogoro wote, iwe na vibali halali vyote vinavyohitajika kisheria. Ni PM tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mashine ya picha canon ikiwa pamoja na chaji yake, power bank, camera nauza kwa 580000 nakupa na wino na photo paper, mashine hii unaweza kutolea passort size, picha za kawaida unachagua rangi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza Noah Field Tourer. Ipo katika hali nzuri sana. Specifications: 1. Make : Toyota 2. Model:Townace Noah Field Tourer 3. Eng Cap : 1998 cc 4. Odometer : 190,000 5. Year of Manuf : 1998 6...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ps 2 inauzwa kwa laki na 30 tu, ina kila kitu.pad 2, flash gb 8 yenye games za gta..need for speed na pes new version, Memory card na adpta..kama unahtaj nchek 0655278055 nipo kno
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Wadau anayehitaji mbwa Mbegu nzuri wana miezi 4 nitafute
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room kubwa ya kuweka sofa seti mbili, dinning, jiko Na store, public toilets, nje Ina Caro kubwa la maji, miti mingi migomba Na michungwa na moembe ya kisasa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu ninahitaji mkopo wa riba 25% kwa miezi 3 tu, nitarejesha yote bila kikwazo kwa sababu issue ninayotaka kufanyia iko researched na imepimwa haswaaaa..... mwenye utayari anipigie 0754459572...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Tofali za kupachika bola cement zile nyekundu Ni bei gani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Model: 1990 Engine: 4d32 - Diesel Mileage: 100,000km Price: 35milion (Negotiable) Just imported All duties paid Price includes reg, plate # & ownership transfer
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari wadauu Tafadhalini natafuta machine ya kufyatua tofali za kuchoma kwa yoyote anayefaham naweza kupata wapi ama shirika, ngo na kwa bei gani? Tofali za kuchoma na sio Hydro foam...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Kwa yeyote ambae anauza vifaa vya saloon in generally ukijumuisha machine na vingnevyo uwe mwanza tuwasiliane directly 0758323543, 0674743890 fall me in box ili turahisishe zoez.
0 Reactions
0 Replies
846 Views
1.Ni fake sio original 2.Sio mpya imetumika muda mrefu
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Simu 0769881984.0783085858.0715075858
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimefunga duka la vifaa vya umeme na ujenzi. Nauza vitu vilivyokuwepo kwa bei ya chini Zaidi ya wholesale kariakoo. Vitu kama switchs, bulbs, tube n fittings, vitasa, main switch,sink za Choo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
JAMAN HABARI ZENU, NATAFUTA DISPLAY YA HTC DISIRE HD. SIJI MAENEO GANI YAWEZAPATIKANA
0 Reactions
0 Replies
463 Views
watu wangu wa nguvu natumaini mambo yenu salama wadau team tecno natumiani wazima nyie, sisi tunaenjoy mambo ya kwenye simu za milioni kwa kulipia laki zetu kadhaa, tecno inavyonipa raha...
1 Reactions
10 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…