Ushaiuza?Simu inauzwa aina ya Sony Xperia Z1 kwa shilingi laki tano alie tayari anicheki kwa namba hii 0753303502
Samsung j5Natafuta simu ya kununua nina laki 3.5
Uko sehemu gani?Samsung j5
mwenzenu mie samsung sizipendi sijui kwanini naonaga ni simu fake hahahaSamsung j5
Hahahaaaaaamwenzenu mie samsung sizipendi sijui kwanini naonaga ni simu fake hahaha



unapenda aina gan?Hahahaaaaaaunapenda aina gan?
Pole sana,kweli samsung fake zikitoka nyingi hadi ikawa shida kutambua kwa harakasony experia tecno na nyingine
ila najua tatizo lilianza wakati nilipewaga samsung note 4 fake bhaaaaaaaas hapo nikazichukia
basi nimezichukia sana na mpaka sasa sitamani hata kuziona yaani nilizichukia na aliyenipa pia nikamchukia ila kwa sasa natafuta simu nimechoka kutumia tecnoPole sana,kweli samsung fake zikitoka nyingi hadi ikawa shida kutambua kwa haraka
Hasira zoote kumbe ulikua umepewa!basi nimezichukia sana na mpaka sasa sitamani hata kuziona yaani nilizichukia na aliyenipa pia nikamchukia ila kwa sasa natafuta simu nimechoka kutumia tecno
ndio........Hasira zoote kumbe ulikua umepewa!
Ninayo iPhone nataka nikupe.....ndio........
no please thanksNinayo iPhone nataka nikupe.....