Habari wakuu, naomba mwenye kujua haswa wapi anaweza kuni connect na mtu ambae anauza pete ya "immo ring". Its serious!! . Kama uko na ufaham ama kujua wap exactly ntaipata naomba uje PM tuongee...
Habari wana jamvi, natafuta wa kumwachia chumba kwa kodi ya miezi mitatu iliyosalia.
Chumba ni mpya na ina gypsum na ni mita mia ivi kutoka barabara kuu ya mwendo kasi.
Na mwenye nyumba wala...
Ni Lenovo core i5 v580 , 780 HDD, 6GB RAM ,2GB OF NVIDIA GFORCE GRAPHICS,webcam, bado ipo kwenye hali nzuri kabisa waweza Ni pm ama nicheki kwa 0657337030 kwa biashara