Habari wana jamvi, natafuta wa kumwachia chumba kwa kodi ya miezi mitatu iliyosalia.
Chumba ni mpya na ina gypsum na ni mita mia ivi kutoka barabara kuu ya mwendo kasi.
Na mwenye nyumba wala...
Ni Lenovo core i5 v580 , 780 HDD, 6GB RAM ,2GB OF NVIDIA GFORCE GRAPHICS,webcam, bado ipo kwenye hali nzuri kabisa waweza Ni pm ama nicheki kwa 0657337030 kwa biashara
Habari,
Jipatie kisima chako cha kuchimbwa kwa mkono(hand_dug well) kwa matumizi ya nyumbani na mashambani(kilimo cha umwagiliaji) kwa bei ya 400,000-1mil. tu kulingana na urefu.
Tupo Dar es...
Pata kisima cha kuchimbwa kwa mkono(hand_dug well) kwa matumizi ya nyumani au kilimo kwa bei ya 400,000-1mil. tu kulingana na urefu.
Tupo Dar es Salaam na Pwani,
wasiliana nasi kwa:0655185973 au...
Habari zenu waungwana,mie ni mkazi wa Dar,nilikuwa napenda kuuliza na kujua ni wapi yanakopatikana matofali yaliyotumika niweze kununua,Mwenye kujua mahali yanakopatikana nitafurahi...