Mtaalamu wa madini dhahabu anahitajika

Mtaalamu wa madini dhahabu anahitajika

gelevahekejr

Senior Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
120
Reaction score
16
Ombi langu mtaalamu wa madini dhahabu tu badilishane mawazo ya uelewa wa madini dhahabu
 
Mtaalam katika nyanja ipi mkuu?, katika utaalam kuna stages za utafiti mpaka kufikia muafaka that hii ni dhahabu na kuna wataalam wa kuyaangalia kwa macho tuu then wakajua hii ni real and not real. Sasa wewe unataka utaalam upi!?
 
Utatapeliwa bure kama unayo nenda kapime masonara wengi wana vipimo hasa jewellers za kariakoo posta KAMA UTAONA NGUMU NENDA SEISMIC KUNDUCHI
 
Wakuu nipo hapa nina jiwe la rangi ya Kijani ambalo ukiliweka juani katikati linaoesha matone kama ya maji naomba msaada kujua hili ni aina gani ya madini
 
Naomba radhi kwa kutelekeza post yangu swala nikwamba dhahabu ya mchanga huwana na tabia ipi unapo itoa Chini ya ardhi
 


TAARIFA.

Sio SEISMIC wala SEAMIC tena.

Siku hizi wamefanya mabadiliko ikiwemo kuongezeka kwa Nchi Wanachama zinazounda u moja unaoendesha Kituo hiki na hivyo kupelekea kurekebishwa hadi Jina la Kituo.

Sasa wanajitambulisha kama AMGC.

Kifupi cha:
African minerals and Geo-sciences center.

Nawasilisha.

KUMBUKA:
Kwa shida yoyote ya kuuza au kununua Madini aina yoyote/Migodi/Mazao/Nyumba/Mashamba au Maofisi usisite kuwasiliana nami. Simu: 0714591548.
 
Back
Top Bottom