Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 5,009
- 9,206
Wakuu naomba kama kuna yeyote anayeweza kunielekeza jinsi ya kupata mashine nzuri ya kukoboa mpunga ikiwa ni pamoja na bei yake.
Nashukuru mkuupiga simu 0652556833, 0754397178 au tembelea www.envaya.org/pdpr kwa maelezo Zaidi.
tunayo kuanzia ya Milioni 2.3