Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu. Nafundisha accounting Packages mbalimbali kwa watumiaji na supporters. Hii ni pamoja na Sage evolution, Pastel Partner, premier payroll, Tally na Sage HR. Elfu themanini kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
609 Views
*soma kwa makini ufaidike* mim nauza Brevis ya mwaka 2005 cc 2500 vvti ingine size 10 haidawa ina insurance comprehensive bhado mpyaaa mteja lazima anunue bei ni milion 9.5 kwangu Ongeza cha juu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya kisasa zaid ina :>master bedroom 1 :>single room 4 ;>sitting room :>dinning :>Jiko&store :>public toilet 2 :>umeme unawaka :>full tiles & gypsum board :>sliding windows :>huduma muhim...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kiwanja moja ya viwanja vilivyopimwa na serikali, sqm 804, kina hati, kipo barabarani, bei 70m Maelewano yapo. 0659445718
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Bei Tsh Milioni 70 Kuna Document ya Serikali ya Mtaa( Liseni Ya Makazi) Zipo nyumba Mbili mbili Sehemu Moja, Nyumba Kubwa ya vyumba3 na ndogo ya Chumba kimoja ambayo haijamaliziwa. Tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba. Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje. Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Key Features Model: 43UF680 ULTRA HD 4K Resolution Triple XD Engine WI-FI built in LAN Lg store apps Full Web Browser Smart TV with webOS Ultra HD 4K Streaming 4K Upscaler IPS 4K Panel Magic...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habarini ndugu zangu natafuta soko la mchele mzuri toka kyela nauza kilo 1500 /= kama unahitaji ni pm au piga simu 0716134501 niko dar es salaam mimi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Nyumba ipo Tabata Kisukulu, Wilaya ya Ilala, jijini Dar Es Salaam 2. Nyumba ipo plot no 1215, Block A 3. Eneo lote linaukubwa wa mita za mraba 1072. 4. Ina hati ya miaka 33 5. Ni nyumba ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni PM nikupatie mawasiliano zaidi; inapatikana Dodoma ktk hali nzuri kabisa
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kwa atakae hitaji kiwanja kwa ajili ya Biashara, kuweka frem za maduka, nyumba ya kuishi au nyumba ya Biashara(Appartment). Kiwanja kilicho pimwa na kina hati, chenye ukubwa wa 60-60 Meters. Kipo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, Natafuta kiwanja maeneo hayo, Kiwanja kiwe kimepimwa,kiwe na hati ya serikali. Ukubwa kuanzia sq mtrs 1000 na kuendelea. Kiwe tambarare kabisa. Kiwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hizi ndio bei za uchimbaji kisima kutoka Tawa Water Proffesional 1: Shillingi elfu sitini kwa mita (60000 tsh) moja...hapo tunakuwekea bomba (pvc) pamoja na pampu. Hiyo bei ni kwa maeneo...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Eneo jipya lipo karibu na uwanja wa Azam. Kuna nyumba vyumba vi4. Viwili self contained, siting room, Jiko, uwanja mkubwa na mabanda yakufugia kuku hata elf3.Eneo lote limewekewa fence. Kuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello Everyone Are you in any of the following sectors? *Power *Property *Health Care *Education *Agribusiness and more (etc) Do you have a profit making organization/company? Are you looking...
1 Reactions
2 Replies
844 Views
Mabati ya msouth(IT5-industrial Trough,migongo mipana ~ Jimkazi Official Website
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wote? Mafundi bomba(plumbers) wanapatikana ni mafundi wenye elimu na uzoefu wa kutosha kwenye fani hiyo. Endapo unahitaji kufanyiwa michoro na kuwekewa mfumo wa maji kwenye nyumba...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Sebule na chumba cha kulala chenye choo/bafu ndani yake vinapangishwa eneo tajwa hapo juu(ni Dar). Single au couples wanaoanza maisha vitawafaa sana. Maji na umeme vipo na iko ndani ya fence. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anahitajika kijana mwenye ujuzi wa kutunza bustani na mazingira yanayozunguka nyumba; kwa kifupi awe na basic education - kusoma na kuandika. Eneo la kazi litakuwa Mikocheni, Dar es Salaam. Tuma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom