Natafuta simu aina ya Samsung Trend Lite either mpya au iliyo kwenye hali nzuri. Kwa aliye nayo anaweza kuandika hapa au akaniPM.
NB: Nahitaji simu hiyo specifically, maana najua mtataka kuniuzia...
Kipo Goba mjini,mita 300 kutoka stand
Ukubwa 40 kwa 50 njia nzr na inafikika kwa urahisi, bei yake 35ml bei hii ina maongezi
Kwa maelezo mengine na ukitaka kukiona tuwasiliane kwa 0756060183
habari zenu wakuu naomba tuepuke kupoteza mda mwingi kwa kutumia social network bila ya kufaidika na chochote ,kama huna ajira Uzi huu unakuhusu iwe ni mzee iwe ni kijana naomba unitafute kupitia...
Inauzwa Hotel ambayo haijamalizika pamoja na viwanja vyake viwili ambavyo ni vikubwa sana katika ya mji wa Dodoma . Hotel inaparking ya kutosha na unaweza kujenga hata swiming pool ndani ya eneo...
Helo wanajf,kulingana na title natafuta mwanamke au bint aliye tayari tushirikiane kuendesha saloon ya kike,kiukweli imenishinda kuendesha kwasababu mm ni mwanaume.
AU
Aliye tayari nmukodishe...
Habari!!,tunapenda kuwajulisha kuwa tunauza laptop used/mtumba za aina mbalimbali,mfano,hp,dell,accer n.k kwa bei safi kabisa ya kuanzia tsh 250000 tu,na pia tunazo min laptop.
Tupo Kariakooo...
Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe,
Miti iliyopandwa ni aina ya pine, Ina umri wa miaka miwili
Zipo ekari hamsini, Bei ni million 20 zinauzwa pamoja na ardhi
Kwa mahitaji wasiliana nami...
WADAU KUNA NYUMBA NZIMA INAKODISHWA VYUMBA VITATU SELF CONTAINER,JIKO IPO MAENEO YA BUZA,MANDHARI YAKO POA KABISA.UKIWA NA SHIDA WASILIANA NA HUYU MTU 0715 45 92 41
Iwe appartment ghorofani (kwenye ghorofa refu) maeneo ya chang'ombe au maeneo ya karibu sana na chang'ombe, iwe ya kisasa yenye vyumba vya kulala vitatu , yenye AC na fence.. Nicheki na ntumie...
WADAU KUNA GARI YA HARUSI INAKODISHWA KWA MAHARUSI WETU,BEI MAELEWANO TU AIFANYIWI NJAA.IPO POA KABISA NA NI MPYA KABISA AINA YA GARI NI SIENTA INABEBA WATU SABA MAWASILIANO MPIGIE 0715 45 92 41
Tafiti zilizofanywa marekani na wanasayansi katika chuo kikuu cha Mississippi Wamethibitisha kua chupi za kubana za wanaume si nzuri kiafya ya uume wako na usalama wa mbegu za uzazi na ina...
Viwanja vinauzwa viko Mbezi Makabe Njia Panda . Ukubwa Ni "20-20" bei Sh mil.10. Vimepimwa kisasa.
Umeme upo karibu mno.
Wasiliana Na mwenye no: 0714486466.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.