mkandumbwe
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 424
- 371
Habari.
Nilikua nikiendesha biashara ya Stationary kwa muda sasa nabimekua ikiingiza faida nzuri tu.
Nimeona nikajiendeleze kimasomo nje ya nchi hivyo nimeamua kuuza vitu vilivyomo ktk stationary vyote.
1. Mashine ya photocopy Ricoh Aficio mp2000 ninaiuza 1million
2. Hp desktop ram 2gb hdd 500 core i3. Ziko 2 zote ziko full. Bei kila moja 300000
3. Mashine ya maxmalipo. Full documents. Ninauza 500000
4. Line za uwakala Tigo pesa, M pesa na Airtel money. Full documents. Ninauza laki 4500000 zote.
5. Samsung min laptop hdd 250 ram 2gb. Ninauza 300000
6. Paper cutter A3 pamoja na mashine ya binding kubwa ya chuma. Zote 200000
7. N Computing na N computing device ziko 4. Zote 200000.
Unaweza kuja kuviona vitu ama nikakutumia picha. Niko Dar.
Piga 0732 000 001
Nilikua nikiendesha biashara ya Stationary kwa muda sasa nabimekua ikiingiza faida nzuri tu.
Nimeona nikajiendeleze kimasomo nje ya nchi hivyo nimeamua kuuza vitu vilivyomo ktk stationary vyote.
1. Mashine ya photocopy Ricoh Aficio mp2000 ninaiuza 1million
2. Hp desktop ram 2gb hdd 500 core i3. Ziko 2 zote ziko full. Bei kila moja 300000
3. Mashine ya maxmalipo. Full documents. Ninauza 500000
4. Line za uwakala Tigo pesa, M pesa na Airtel money. Full documents. Ninauza laki 4500000 zote.
5. Samsung min laptop hdd 250 ram 2gb. Ninauza 300000
6. Paper cutter A3 pamoja na mashine ya binding kubwa ya chuma. Zote 200000
7. N Computing na N computing device ziko 4. Zote 200000.
Unaweza kuja kuviona vitu ama nikakutumia picha. Niko Dar.
Piga 0732 000 001