Hongera sana kwa kuwa na s6 mkuu..ujumbe umefika.....Mkononi hapa nina SAMSUNG S6, nimeitumia kama siku 5. Ni sim original, ina rangi ya Gold.
Inaukubwa wa 4 inches screen.
Internal memory yake ni GB 32, Camera ni 18×8 Mega Pix.
Naiuza 1 milioni![]()
Sina uwezo wa kumiliki S6 mkuu, hapa napiga mchepuo tu ili nipate cha juu nikanunue debe la mahindiHongera sana kwa kuwa na s6 mkuu..ujumbe umefika.....