Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nataka kufanya biashara ya kuuza mitungi ya gesi nifanyeje. Ushauri plz
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mpate mitoko ya ukweli kama skirts aina zote, vitop, simple shoes pia mtapata huduma ya kusafishwa kucha bure. You're welcome Ladies. contact 0767291786 or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgeni wa Mungu ninauza vitu vyangu mwenyewe vya halali, kwa ajili ya matumizi ya ndani. viko katika hali nzuri na vinaridhisha kwa matumizi. Dressing mbao ya mninga 220,000/= HPprocessor...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000. Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu hii bidhaa mahususi zaidi kwa akina dada ipo sokoni at a very cheap price. Kwa yeyote aliopo Moshi ama Arusha tufanye biashara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba kufahamu, form wenye D E E, E E E hawa chuo kikuu hawaendi sawa, je na diploma pia maana Qualifications za diploma cjaona huitaji wa matokeo ya kidato cha 6, only form 4 required
0 Reactions
1 Replies
785 Views
Shamba lenu la ufugaji na uuzaji wa vifaranga chotara tumerudi tena kuwaletea vifaranga bora zaidi wa kuku chotara. Kuku wetu ni wazuri sana, wanahimili magonjwa, watagaji wazuri wastani wa mayai...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kwa wakazi wa Dar es Salaam, kanga wanauzwa bei poa! Mwenye kuhitaji ani PM.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kufahamishwa bei za jumla za laptop, na je bongo yapo maduka ya jumla ya laptop au mpaka nje. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Parakito(natural mosquito Repellent) -Anti mosquito Bracelet Reppelent band -Dawa halisi kwa ajili ya kuzuia mbu,ina kidonge ambacho kimetengenezwa mafuta kutokana na mimea ya lavender kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu wa JF! Duka gani hapa Dar naweza kupata bateri za lenovo Vibe??
0 Reactions
0 Replies
847 Views
kwema, nauza simu yangu C5 ipo kwenye hali nzuri sana naishi Mwanza. bei 150,000/=. Asante.
0 Reactions
5 Replies
945 Views
Wadau tikiti zipo tayari hekari 2 aina sukari F1 zipo chato mjini.Makubwa kama gari ni tani 30 .
2 Reactions
4 Replies
1K Views
guys natafuta Samsung galaxy demo unit zile ambazo haziingii line iwe ni kuanzia galaxy s6, s6 edge, note 5, s6 edge plus, s7 au s7 edge. natafuta kama show off kwenye project zangu za elimu...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
JE UNA MTOTO/NDUGU yako aliyefeli kidato cha nne/sita? KP Professional Services(KPS) kwa kushirikiana na bodi ya uhasibu (NBAA) pamoja na bodi ya ununuzi (PSPTB) tunafundisha courses za uhasibu na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Biashara, kiwanja kinauzwa 17 kwa 40 Milioni tatu, Kibamba..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kiwanja Kinauzwa Maili moja, 17 kwa 40. Kinahitaji milioni tatu kamili. 0714363793
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Mashamba bado yapo Morogoro maeneo ya Kiegea(bwawani) barabara ya gari hadi shambani,maji yapo,ardhi safi tuwasiliane kwa namba hii 0716792692 N:B nawashukuru tuliofanya nao biashara mnaweza kutoa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Salama wana jamii, naomba kujua bei ya soko la mahindi kwa sasa kibaigwa, kiteto na maeneo mengine mahindi yanapopatikana kwa wingi, Nakama mtu anaijua biashara hii ya mahindi naomba anisaidie...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana kwa ukubwa wa 20/20 huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu sana Lipia 65% then inayobak unalipa kdgo kdgo ndn ya wik...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom