Kama kawaida VUNJA BEI, nauza cheap....Huawei P8 4G Lte version mpyaaaa Gold Color, internal storage 16GB+3GB ram...
Price: 580k.
Pia nina Smartphones nyingne ambazo ni Top best on Mobile Market...
Je,unahitaji kupata wateja faster kwenye biashara yako??Tangaza sasa na MASWAYETU BLOG upate mafanikio mazuri na makubwa kwa bei nafuu.
Sifa za blog hii
kama upo interested nicheki watsup...
Hello.
Kama unaijua The Innovation House Brand basi utajua ni nini ninachozungumzia. Kwa wale waliopo instagram account hii ya instagram @theinnovationhouse2014 mtakuwa mnaijua kama hujaijua basi...
Habari wana JF
Natahitaji kununua Generator ya Caterpillar yenye uwezo kuanzia 5KV na kuendelea, iwe mpya au yeyote anayefahamu inapatikana wapi naomba anifahamishe.
Nawasilisha.
Wajasiriamali habari zenu!
Naomba mnipe ushauri nna rafiki yangu dubai kaamua kunisaidia kwa kunipa ofa nichague vifaa au mashine ya kufanyia kazi.
wakati bado nafkiria na nyie naombeni mawazo...
Original...! Portable External Usb Hard Drives for sale...For data storage e.g. movies, music, pictures, work files..etc
Will add movies for you at an agreed small extra charge...!
2Tb.......Tsh...
Wadau mbali na maduka haya mawili yanayouza camera Al Muntazir la Kisutu na Jumbo la Benjamini Mkapa Tower posta ni wapi ambapo naweza kupata camera mpya bila lensi aina ya Canon 5D MIII na kama...
Ni gari la mwaka 2002, Halijatumika sana maana sikai nalo mkoani naliacha DSM, Rangi ya siliver, limetembea Km 97,000. Ni automatic na lina milango mitano. kwa mnunuzi aliye serious tuwasiliane...
Dar es salaam Mbezi juu unaingilia Makonde au barabara ya Goba. Nyumba ya vyumba 2 , sitting room , jiko, bafu, choo na ni fenced.
Luku inajitegemea maji kuna tank juu la kujaza.
Bei laki2 kwa...
Fungua account hapa ili uweze kufanya online bisiness ambapo itakupatia ATM CARD YAKO YA MASTER CARD kutoka payoneer itakayokuwezesha kufanya online business yaan biashara ya kimtandao kwa...
Je wewe ni digital artist wa kitanzania au ungependa kuingia katika profession hii? Nimeanzisha online community ambayo nategemea itakuwa msingi mzuri utakaosaidia kujenga mazingira ambayo watu...
Nauza simu yangu Vodafone smartkika kwa bei chee kabisa 35000 tu simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote
Ninapatikana ukonga mombasa
Mawasiliano 0756817931
Ninauza TV yangu ya samsung 40" series 5 LED HD
Bei Tsh 800,000 ( Negotiable)
Imetumika mwezi mmoja tu na haina tatizo lolote! Ina warrant ya mwaka mmoja!
Sababu ya kuiuza nimepata nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.