Karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mpate mitoko ya ukweli kama skirts aina zote, vitop, simple shoes pia mtapata huduma ya kusafishwa kucha bure. You're welcome Ladies. contact 0767291786 or...
Mgeni wa Mungu ninauza vitu vyangu mwenyewe vya halali, kwa ajili ya matumizi ya ndani. viko katika hali nzuri na vinaridhisha kwa matumizi.
Dressing mbao ya mninga 220,000/=
HPprocessor...
Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000.
Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na...
Habari zenu wadau,
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu hii bidhaa mahususi zaidi kwa akina dada ipo sokoni at a very cheap price. Kwa yeyote aliopo Moshi ama Arusha tufanye biashara...
Naomba kufahamu, form wenye D E E, E E E hawa chuo kikuu hawaendi sawa, je na diploma pia maana Qualifications za diploma cjaona huitaji wa matokeo ya kidato cha 6, only form 4 required
Shamba lenu la ufugaji na uuzaji wa vifaranga chotara tumerudi tena kuwaletea vifaranga bora zaidi wa kuku chotara.
Kuku wetu ni wazuri sana, wanahimili magonjwa, watagaji wazuri wastani wa mayai...
Parakito(natural mosquito Repellent)
-Anti mosquito Bracelet Reppelent band
-Dawa halisi kwa ajili ya kuzuia mbu,ina kidonge ambacho kimetengenezwa mafuta kutokana na mimea ya lavender kwa...
guys natafuta Samsung galaxy demo unit zile ambazo haziingii line iwe ni kuanzia galaxy s6, s6 edge, note 5, s6 edge plus, s7 au s7 edge. natafuta kama show off kwenye project zangu za elimu...
JE UNA MTOTO/NDUGU yako aliyefeli kidato cha nne/sita?
KP Professional Services(KPS) kwa kushirikiana na bodi ya uhasibu (NBAA) pamoja na bodi ya ununuzi (PSPTB) tunafundisha courses za uhasibu na...
Mashamba bado yapo Morogoro maeneo ya Kiegea(bwawani) barabara ya gari hadi shambani,maji yapo,ardhi safi tuwasiliane kwa namba hii 0716792692
N:B nawashukuru tuliofanya nao biashara mnaweza kutoa...
Salama wana jamii, naomba kujua bei ya soko la mahindi kwa sasa kibaigwa, kiteto na maeneo mengine mahindi yanapopatikana kwa wingi,
Nakama mtu anaijua biashara hii ya mahindi naomba anisaidie...
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana kwa ukubwa wa 20/20 huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu sana
Lipia 65% then inayobak unalipa kdgo kdgo ndn ya wik...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.