Ndoto ni njia mojawapo ya Mungu kuzungumza na watu wake kwa lengo la kuonya, kufundisha, kukuonesha hatari iliyopo mbele yako au hata kukuonesha utakuwa nani baadaye! Tunaona katika Mwanzo 20:3...
Nauza Toyata IPSUM PICNIC Haijatembea kilomita Nying sana Bei 9.5 Maelewano yapo ipo Dodoma 0765 860 437
NOTE Gari haina cha Udalali ni kutoka kwenye Mali
Au lipia 5milion unipe na gari moja kati ya haya (raum, ist, wish, gx110)
Gari ni Prado
Automatic
Turbo, Diesel
85,000km,
Bei sh milion 16, ukiinunua Unaichukua haidaiwi
Haina tatizo lolote njoo...
Wakuu naomba kujuzwa bei ya mashine mpya ya kichina ya kukamua alizeti yenye uwezo wa tani 1-5 au zaidi kwa siku.Je bei yake ni ngapi kwa maeneo ya Arusha au Mwanza?
Kwa yeyote mwenye leseni za uchimbaji wa Madini aina ya marble ziwe na bluu au pick au nyeupe ziwe Pl au pml tuwasiliane kwa Namba
0752574545/ 0714452099
0718574545/ 0766441447
Email...
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kwa mwenye kufaham mashine nzuri na yakisasa ya kukoboa mpunga naomba anipe taarif hizo hapa kwa kuzingatia yafuatayo.
1.Gharama za mashine husika
2.Ubora wa...
Toyota Progres hii gari nimetokea kuikubali sana, lakini sijui upatikanaji wa spare parts zake ukoje na fuel consumption zake sijui ukoje .. Kwa mwenye kuijua naomba anipe darasa kidogo maana...
WANAJAMII
INCUBATOR ZA UMEME , AUTOMATIC , MULTIFUNCTION
KWA MAYAI YA AINA YOYOTE KUNZIA MAYAI. 164-1064
PAMOJA NA KINU CHA KUPONDEA CHAKULA CHA KUKU
BEI YA KINU NI 2M
INCUBATOR YA 1064 NI 2M...
Wana JF nauza machine ya kutengeneza chakukula cha ukubwa wa mixer ni tani moja na nusu,imetumika muda wa mwezi mmoja ina kila kitu Mzani,machine ya kushonea magunia,circute breakers zake zote...
For any school which demand MATHEMATICS TEACHER please concern with me
Phone No; 0719202903 or 0712801265
Location; Kibaha-Pwani (Iam ready to work any region)
Status; Student teacher who pursuer...
Habari wanajamvi nataka kununua mashine ya mbao inaitwa ( lumber pro 48",) imetengenezwa na cleereman industries. Lakini tangu mwezi jana nimetafta njia yeyote imeshindikana na e mail hazijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.