njia moja wapo ya kuweza kumudu biashara yako ni kutumia Tally.Erp9 accounting software.Tally.Erp9 inauwezo mkubwa wa kukusaidia kila aina ya changamoto ambazo wewe utakutana nazo...
Kiwanja kinauzwa kiko Mbezi Msakuzi. Ukubwa Ni "17-20" bei Sh mil. 7. Karibu Sana. Umeme upo karibu mno.
Wasiliana Na mwenye no: 0719031549. Bei inaweza kupungua kidogo. Gari inafika hadi getini...
Habari, nina tani 15 za pilipili Manga /mtama kavu na ni nzuri, kg nauza kwa 20000 mpaka kumfikishia mteja. Naomba kwa atakayehitaji tuwasiliane 0627748402
Tally training ya:
1. Kucreate masters ya accounts na inventory
2. Kupost vouchers kama vile petty cash, invoice, payment n.k
3. Kuview na kuprint reports na kuexport hizo reports kwenye pdf...
Habari zenu wadau, wapi mtu anaweza kupata vitu vya ndani kama TV na Fridge kwa mkopo wa kulipa kwa miezi 3,4 hadi 6?
-mfanyakazi sekta binafsi hivyo mdhamini uwe mwajiri na mkataba wake.
Kodi isizidi laki saba...mzungu mwanaume anatafuta appartment ya kupanga ya kisasa mbezbeach iliyo na fenicha tayari, mahitaji ni chumba kimoja master, sebule na jiko na iwe ndani ya fensi...
Habari Zenu Wadau Nimepata Kazi Mkoan Hivyo Natafuta Mtu Nimpe Kitanda 5*6 na Godoro Lake Na Chumba Kwa Laki 2.5 Tu. Chumba Kipo Kiwanda Cha Tumbaku Km 5 Kutoka Chuo Cha Sua Kampas Ya Mazimbu...
Gari iko katika hali nzuri na haina tatizo lolote.
gear ni manual
inatumia diesel
milango mitano
haijawahi kufunguliwa engine
model ya 1992
engine cc 2470
ac inafanya kazi
ina 4wd
bei ni milioni 8...
Naomba kujulishwa kwa anayejua hasa mliopo china na nchi zingine, Bei ya mashine au mtambo wowote wa kutengengeza ice block uwe used au mpya unaotoa hata tofali 20 za ice, tofauti na freezer za...
BUY/RENT LAND &
HOUSE/APARTMENT IN
ARUSHA,TANZANIA. Welcome and consult us,
For any enqueries please
reach us through:
Moshono Bus Stand,
House,Plot 93
Nelson Mandela Road P.O. Box3528...
Habari za kazi ndugu watanzania.
Poleni na majukumu.
Ninaomba kujuzwa jinsi ya kukomboa mzigo hapo airport uliotumwa kutoka Dubai. Mfano nguo. Kuna utaratibu gani inayo fuatwa na malipo Yao...
Kiwanja kina ukubwa wa robo heka ni tambalale, kipo umbali wa mita 70 Kutoka morogoro road, kipo katika barabara kubwa ya mtaa, kwa maelezo zaidi piga namba 0717 000 990
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.