Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

njia moja wapo ya kuweza kumudu biashara yako ni kutumia Tally.Erp9 accounting software.Tally.Erp9 inauwezo mkubwa wa kukusaidia kila aina ya changamoto ambazo wewe utakutana nazo...
0 Reactions
2 Replies
779 Views
Kiwanja kipo barabara ya Mwanza karibu na mizani. Bei ni 3.5ml kwa eka ila inaongeleka. Wasiliana nae 0752959836
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kiko Mbezi Msakuzi. Ukubwa Ni "17-20" bei Sh mil. 7. Karibu Sana. Umeme upo karibu mno. Wasiliana Na mwenye no: 0719031549. Bei inaweza kupungua kidogo. Gari inafika hadi getini...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Habari, nina tani 15 za pilipili Manga /mtama kavu na ni nzuri, kg nauza kwa 20000 mpaka kumfikishia mteja. Naomba kwa atakayehitaji tuwasiliane 0627748402
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tally training ya: 1. Kucreate masters ya accounts na inventory 2. Kupost vouchers kama vile petty cash, invoice, payment n.k 3. Kuview na kuprint reports na kuexport hizo reports kwenye pdf...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, wapi mtu anaweza kupata vitu vya ndani kama TV na Fridge kwa mkopo wa kulipa kwa miezi 3,4 hadi 6? -mfanyakazi sekta binafsi hivyo mdhamini uwe mwajiri na mkataba wake.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kodi isizidi laki saba...mzungu mwanaume anatafuta appartment ya kupanga ya kisasa mbezbeach iliyo na fenicha tayari, mahitaji ni chumba kimoja master, sebule na jiko na iwe ndani ya fensi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Zenu Wadau Nimepata Kazi Mkoan Hivyo Natafuta Mtu Nimpe Kitanda 5*6 na Godoro Lake Na Chumba Kwa Laki 2.5 Tu. Chumba Kipo Kiwanda Cha Tumbaku Km 5 Kutoka Chuo Cha Sua Kampas Ya Mazimbu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
nipo dar mitungi ya oryx mikubwa ...miwili ina gesi mikubwa na mitatu haina ges mikubwa,,bei maelewano,,nichek 0687648670
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Haina tatizo lolote, Bei Tsh 250,000 inapungua kidogo
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Gari iko katika hali nzuri na haina tatizo lolote. gear ni manual inatumia diesel milango mitano haijawahi kufunguliwa engine model ya 1992 engine cc 2470 ac inafanya kazi ina 4wd bei ni milioni 8...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujulishwa kwa anayejua hasa mliopo china na nchi zingine, Bei ya mashine au mtambo wowote wa kutengengeza ice block uwe used au mpya unaotoa hata tofali 20 za ice, tofauti na freezer za...
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Ukubwa 850sqm, umbali kutoka lami mpya ya goba 1km almost ... Price 20m.. Hati serekali za mitaa
0 Reactions
0 Replies
835 Views
BUY/RENT LAND & HOUSE/APARTMENT IN ARUSHA,TANZANIA. Welcome and consult us, For any enqueries please reach us through: Moshono Bus Stand, House,Plot 93 Nelson Mandela Road P.O. Box3528...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari za kazi ndugu watanzania. Poleni na majukumu. Ninaomba kujuzwa jinsi ya kukomboa mzigo hapo airport uliotumwa kutoka Dubai. Mfano nguo. Kuna utaratibu gani inayo fuatwa na malipo Yao...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu naomba mwenye kufaham naweza kupata begi km hili kwa apa dar es salaam. Natanguliza shukran
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu anaeuza kiwanja Dodoma ambacho hakina migogoro tufanye biashara, maana naona kuna hatihati ya kulihama jiji
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiwanja kina ukubwa wa robo heka ni tambalale, kipo umbali wa mita 70 Kutoka morogoro road, kipo katika barabara kubwa ya mtaa, kwa maelezo zaidi piga namba 0717 000 990
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom