Beach plots

Beach plots

salimkabora

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,441
Reaction score
653
Zipo Kaole Bagamoyo na zinapakana na Kaole Sekondari; zina ukubwa wa sqm 1,500 na bei ni tshs 10,000/= kwa sqm. Zipo umbali salama wa mita 200 toka baharini/ufukweni na zina hati; mwenye kuhitaji ani pm
 
Tittle uliyoandika ni beach plot lakini maelezo yako ndani ni mita 200 kutoka baharini
 
Naamini muuzaji umeeleweka.
Kwamba ni viwanja karibia na fukwe ya Bahari ,Beach Plots na Waterfront plots ni kitu kimoja,hivi lazima viwe kwenye first row ya Bahari,yaani baada ya maji ndio vyenyewe,ila kama ikiwe ni kuanzia kiwanja cha pili tu basi inakuwa sio beach plots tena ila unaweza kusema tu second plot from the beach ili kukipamba.
Na hata hivyo Beach plots huwezi kupata kwa bei hiyo nandio maana nasema these are Plots closed to the beach
bytheway bei ipo vizuri sana tu
Vipi maeneo ya huko kaole wanga vipi,maana Bagamoyo nako hakuendelei kwa hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom