Nahitaji kijana wa kazi

Nahitaji kijana wa kazi

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
750
Reaction score
367
nahitaji kijana msaidizi wa kazi mgahawani. mgahawa upo uswazi hauna mishe nyiingi kivileee..nilisha wahi kupost hapa nashukuru nilimpata mmoja mpaka leo ninae..nahitaji mwingine Ofisi inakua kidogokidogo kama unamdogowako muelewa,anafundishika, sio mbishi hatakama yupo mkoa unatamani aje town njoo tujadili nitakaanae. itategemea na bidii yake na uaminifu nitaanza kumlipa tsh 3000. 0714045080.(vingunguti)dar.
NB:mwenye MKE sihitaji
karibu.
 
Usawa huu unadhani atamlipa sh. ngapi chakula anakula pale pale na chai.
 
3,000? Labda kwa siku ila menyu zote hapo hapo kwa hotel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom