Ni smartphone Gani nzuri nitaipata kwa hii hela yangu

miss confidence

JF-Expert Member
Jul 9, 2016
393
273
Habari wanajamvi Mimi nipo mwanza ninashida Na smart phone mpyaaa nina laki Na nusu.... msaada please ni cmu Gani nzuri nitaipata kwa hii pesa yangu???
 
Habari wanajamvi Mimi nipo mwanza ninashida Na smart phone mpyaaa nina laki Na nusu.... msaada please ni cmu Gani nzuri nitaipata kwa hii pesa yangu???
1469873117593.jpg

ni pm mkuuu kwa smartwatch
 
S2 sishauri sana otherwise kama una elf thelathini nyingine ya power bank.

Waweza ongeza hio elfu 30 katika hela ulionayo uwe na jumla 180,000/= then ununue tecno w4 ambayo ina latest android version 6.0, iko poa sana na inavyokaa na charge lazma utaleta mrejesho humu!

Generally, sishauri ununue simu used kwa kiwango cha pesa ulichonacho. Fanya opportunity cost hapo!
 
S2 sishauri sana otherwise kama una elf thelathini nyingine ya power bank.

Waweza ongeza hio elfu 30 katika hela ulionayo uwe na jumla 180,000/= then ununue tecno w4 ambayo ina latest android version 6.0, iko poa sana na inavyokaa na charge lazma utaleta mrejesho humu!

Generally, sishauri ununue simu used kwa kiwango cha pesa ulichonacho. Fanya opportunity cost hapo!
Nashukuru sana mkuu
 
S2 sishauri sana otherwise kama una elf thelathini nyingine ya power bank.

Waweza ongeza hio elfu 30 katika hela ulionayo uwe na jumla 180,000/= then ununue tecno w4 ambayo ina latest android version 6.0, iko poa sana na inavyokaa na charge lazma utaleta mrejesho humu!

Generally, sishauri ununue simu used kwa kiwango cha pesa ulichonacho. Fanya opportunity cost hapo!

Mkuu hivi hizi droidpad za tecno ziko vizuri kiongozi...?
 
simu za tecno zinakaa sana na chaji, samsung iphone ni shida

Usemalo lina ukweli kwa asilimia nyingi kabisa kaka nimeshaskia hii kauli kwa watumiaji wa hizo simu wakisema usemavyo labda hutegemea na aina ya simu pia.

Halaf humu jukwaani si wapo wawakilishi wa tecnotz hivi, au...?.
 
w4 ina 2500mAh Li-Ion battery, internal ni 16GB na RAM ni 1GB bila kusahau main camera ni 8MP.

That's great wangeipa 3000mah ingekuwa vyema kabisa ila hata hiyo si mbaya pia.

Bado nipo kwenye ushauri kuona ni simu gani itafaa kwa budget tajwa iliyopo.
 
That's great wangeipa 3000mah ingekuwa vyema kabisa ila hata hiyo si mbaya pia.
Bado nipo kwenye ushauri kuona ni simu gani itafaa kwa budget tajwa iliyopo.

Licha ya hio but still ina deliver mkuu, yani saa 2 usiku inafika bila shida hata kama we ni mtu wa kuchat sana halafu ka w4 kapo na sleek design yani huwezi amini kilivyo slim na muonekano wa kuvutia! kioo ni 5.0 inches.
 
Usemalo lina ukweli kwa asilimia nyingi kabisa kaka nimeshaskia hii kauli kwa watumiaji wa hizo simu wakisema usemavyo labda hutegemea na aina ya simu pia.

Halaf humu jukwaani si wapo wawakilishi wa tecnotz hivi, au...?.

Yeah mi siwapigi chapuo hawa jamaa ila nimeshatumia simu zao mara kadhaa hazijawahi kuniletea jam yoyote, pia zinavumilia sana charge halafu hazinaga ile tabia ya kupata moto. Kwa battery optimization they are really good sir tofauti na masimu yenye majina makubwa ukiachilia Lenovo, Sony na baadhi ya Motorola.
 
Licha ya hio but still ina deliver mkuu, yani saa 2 usiku inafika bila shida hata kama we ni mtu wa kuchat sana halafu ka w4 kapo na sleek design yani huwezi amini kilivyo slim na muonekano wa kuvutia! kioo ni 5.0 inches.

Umenishawishi kuinunua hii simu mkuu nadhani yaweza kuwa ni pendekezo sahihi kama hatatokea mdau mwengine kutupa maoni mbadala.

Shukran sana.
 
Yeah mi siwapigi chapuo hawa jamaa ila nimeshatumia simu zao mara kadhaa hazijawahi kuniletea jam yoyote, pia zinavumilia sana charge halafu hazinaga ile tabia ya kupata moto. Kwa battery optimization they are really good sir tofauti na masimu yenye majina makubwa ukiachilia Lenovo, Sony na baadhi ya Motorola.

Na pia kuna ile taarifa huwa inanikera mno kwa kweli sjui huwa kwa nini inatokea hasa ilikuwa ikinitokea kwa Huawei "unfortunately com.android has stopped".

Kwa kweli silipendi mno hili bandiko.
 
Back
Top Bottom