Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Haya hayaaa wakazi wa ARUSHA Gari hilo hapo kazi kwenu Aina CR-V Namba A Ilipo;Mkoa wa ARUSHA Mapungufu yake 1.Tairi za mbele zimeisha kidogo 2.bodi imepigwa na jua kidogo 3.system;automatic car...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
COMPANY ya kukusanya vyuma chakavu zinatafutwa, Hii ni kampeni ya Nchi za Scandnavia, ya kukusanya vyema chakavu na kuvituma huko, kinachotakiwa ni Kampuni yenye uwezo mkubwa wa ukusanyaji wa...
1 Reactions
0 Replies
864 Views
Kamata ticket yako ya nyama choma toka tecno Kampuni maarufu ya simu Tanzania imekuja na tiketi za kuifanya wikiend yako iwe imara na ya furaha ha ukizingatia ni mwisho wa mwezi ambapo kila mtu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni mkulima toka Dodoma. Nimelima nyanya lakini soko ni tatizo. Msaada kwa mwenye kujua soko tafadhali 0629 046084
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dealers Business card, Brochures, Posters, Calendar, T - Shirt & Caps printing, PVC Stickers, Wheel Covers, Card etc you are welcome 0758339065/0673339065
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kigamboni eneo MWONGOZO karibu kabisa Na Magorofa yaliyojengwa pale Sifahamu ni ya nn .BEI NI MILIONI 60. MAONGEZI YAPO KIDOGO KARIBUNI WASILIANA NA MUUZAJI /MWENYE KIWANJA...
0 Reactions
4 Replies
899 Views
S6 edge 32gb front screen ime crack ila vingine viko sawa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wapi nawezapata shera aidha kushona au kununua hata kukod kwa Dar
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Nitafute humu bei poah sana
0 Reactions
0 Replies
644 Views
TIMU YA SAFARI TV SHOW. Safari Tv Show kuptia TV 1 siku ya jumatatu saa 12:00 Jioni, marudio Jumanne saa 6:00 Mchana na alhamisi saa 6:00 Mchana. Tumeamua Kuzunguka nchi nzima na kuonesha kazi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa salaams, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata mbegu za nyanya aina ya F1 hapa dar es salaam anifahamishe. Ahsante. Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
1 Reactions
46 Replies
21K Views
Salaam; wapendwa nahitaji Vitunguu swaumu vya Arusha; Naomba msaada niunganishwe na wakulima walioko Arusha au kwenye Soko la jumla Arusha; kwa Dar naona bei imezidi sana; no yangu ni 0716 201695...
1 Reactions
0 Replies
797 Views
Wadau habari za kazi kwa wale wenyeji wa Iringa mjini natafuta nyumba ya kupanga inayojitegemea kwa umeme na maji yenye vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwe master,choo cha public,sebule isiwe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
karb, 1.3m maelewano yapo,, nipm ntakupa no kwa mawasiliano
3 Reactions
35 Replies
17K Views
Habari vijana wenzangu Mi ni mkulima maeneo ya shinyanga nilietafuta soko la mchele wngu kwa muda mrefu bila mafanikio. Nimelima kiasi cha zaid ya tan52 ninaomba muongozo kwa mwenye kujua masoko...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
TAFUTA SHULE CENTER inamsaidia mzazi kwa kumtafutia shule nzuri ya sekondari au chuo kwa mtoto wake ndani ya Tanzania kuligana na mahitaji ya mzazi.. Pia inakupa taarifa zozote muhimu za shule...
0 Reactions
0 Replies
828 Views
BEST MICROSOFT EXCEL EXPERT 0718 75 95 85 Anything you need in microsoft excel, anything you can imagine, automatic data entry, bulk sms, excel programming, data security, automation of...
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Haya hayaaa wakazi wa ARUSHA Gari hilo hapo kazi kwenu Aina CR-V Namba A Ilipo;Mkoa wa ARUSHA Mapungufu yake 1.Tairi za mbele zimeisha kidogo 2.bodi imepigwa na jua kidogo 3.system;automatic car...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Wewe tu karibu sana tufanye biashara chap.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri. Bei ni mil 8 Mawasiliano 0712584524
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…