shera ni nini?
Wapi nawezapata shera aidha kushona au kununua hata kukod kwa Dar
Matatizo kweli. Lugha simple sana. May kwa dunia ya sasa yawezakuwa wanaume wanavaa shela kwa zile ndoa za man united (muunganiko wa wanaume)
Bado sijapata msaada
kumbe haujaolewa bado? hii bahati hii, subiri ni changamkie fursa
Wewe !! Binti baada ya salaam... tafadhwal mpe Sheila lako hilola kijani..!! HITLEROMG...shera kumba ni sheila. Mbona lina majina mengi....