Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

SLIM & TRIMS 1; PRO-SLIM TEA * Accelerates metabolism and degradation of fat * Burn fat as fuel to reduce the lipid content of the body * Reduce absorption of dietary fat and helps lose weight...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Faida zakutumia pedi za BF-Suma (Guardian Angel Night & Day Sanitary); * Inazuai mionzi ya simu na aina yoyote ya umeme. * Inatibu magonjwa ya kuambiza kwa njia ya ngono (Isippkuwa ukimwi) *...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau habarini za jioni, nauza simu aina tatu za samsung, s3,s4 na galax grand duos. Ni simu mpya kabisa zimeingia leo. Hizi simu nauzia nyumban au mkononi kwa maana haziko dukani maana kupata...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiwa kipo karibu na hospitali ya tumbi kuina ukubwa wa heka moja kipo karibu na barabara. BEI SH 4500000
0 Reactions
57 Replies
8K Views
Natumaini Mpo salama... Nauza king'amuzi changu cha Continental cha Antena kwa bei rahisi sana. Cheki me kama wahitaji
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wakazi wa KAGERA-BUKOBA na maeneo jirani... waweza kupata huduma za 1.installations of Microsoft windows and Debian 2.web-hosting with best 5 customizing web-hosting panels 3.Dbmsecurity...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Vitz inauzwa. Vvti petrol engine. Cc 990. Comprehensive insurance. Milion 7 laki 4. Gari nzuri sana na ni yangu mwenyewe.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
50, 000/= 0654 796047 0625 645166
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nahitaji sehemu ya ku print business cards kwa ubora wa hali ya juuuuu saaaaana na sio kubahatisha, napata tabu sana na wateja wangu wanaona design kali alafu nacho waletea tofauti kabisa. Kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya viwanja, vilivyopimwa Na ambavyo havijapimwa, nyumba zakununua Tegeta Kibaoni WhatsApp/Call 0715476787
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Wakuu heshima kwenu. Nina m8 nahitaji gari zifuatazo kama utawezekana. Premio new model no. C au D. Raum new model no.Cau D. spacio new model no. C au D. Vitz new model no C au D. Zote hizo ziwe...
0 Reactions
6 Replies
717 Views
Habari za muda huu, ninatafuta nyumba nzima ya kupanga kwa ajili ya Ofisi. Eneo: Sinza, Mwenge, Kijitonyama, Survey, Ubungo na Kinondoni na maeneo ya karibu na maeneo tajwa. Ukubwa: vyumba vinne...
0 Reactions
1 Replies
795 Views
Mwaka : 2000 Mafuta : dizel Rangi : silver Cc : 3150 Model : QD Bei: 14 m Mawasiliano: 0767 425555,Arusha Sababu za kuuza: nataka niongezee ninunue gari nyingine ya biashara. Gari iko...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nakupa simu aina ya samsung GT-E108sF pamoja na 50,000 cash utanipa simu gani ya smartphone? nipo dar namba ya simu 0656899091
0 Reactions
2 Replies
923 Views
ofa ofa ofa nunua perfume moja ya kike au kiume na upate deodorant moja au nunua seti ya novage skin care (kuondoa uchovu 25+, kung'arisha 25+ au kutoa mikunjo uson 35+) na upate shower gel moja...
0 Reactions
3 Replies
988 Views
for local contact and more details please call the following numbers +255784410223 - Patricia +25578082424 - Office You can register online on this link: Esri Eastern Africa User Conference –...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Nyumba inauzwa bunju A.Ina vyumba 4 umbali kutoka barabarani ni km moja na nusu.Bei ni 150M.Karibuni sana 0756224239
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Hi wanajamii, nahitaji kijana mbunifu wa kunitengenezea APP yangu, nitumie na references zako nione, propose bei, though tutanegotiate, bei iwe nafuu wajameni maana zile bei za kuchaji corporate...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Heshima yenu wakuu Kama kichwa kinavyo jieleza, natafuta mihogo ninunue ambayo imesha vunwa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…