Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 473
- 198
Kiwa kipo karibu na hospitali ya tumbi kuina ukubwa wa heka moja kipo karibu na barabara. BEI SH 4500000
Hospitali ya tumbi wapi? Maana karibu ya hospitali ya Tumbi lote ni eneo la shirika la elimu Kibaha.Kiwa kipo karibu na hospitali ya tumbi kuina ukubwa wa heka moja kipo karibu na barabara. BEI SH 4500000
Yaaan kama una pajua kwa shekh sharifu karibu na hapo maana sio mbali sana na eneo hilo la hospitaliHospitali ya tumbi wapi? Maana karibu ya hospitali ya Tumbi lote ni eneo la shirika la elimu Kibaha.
Ndio kimepimwa na kana nyaraka zote za ardhiKimepimwa na mamlaka husika?
Boko?Yaaan kama una pajua kwa shekh sharifu karibu na hapo maana sio mbali sana na eneo hilo la hospitali
Hapana sio boko ukifika ubungo unapanda gari za kongowe alafu unashuka kituo cha tumbi ukifika hapo ukiuliza kwa shekh sharifu utaelekezwa yaani kiwanja changu na cha shekh vimepakanaBoko?
Wewe Tumbi wapi? Ninaijua Tumbi vizuri sana!! Tumbi yote ni shirika la elimu kibaha!! Au picha ya ndege?Hapana sio boko ukifika ubungo unapanda gari za kongowe alafu unashuka kituo cha tumbi ukifika hapo ukiuliza kwa shekh sharifu utaelekezwa yaani kiwanja changu na cha shekh vimepakana
Je kwa shekh sharifuWewe Tumbi wapi? Ninaijua Tumbi vizuri sana!! Tumbi yote ni shirika la elimu kibaha!! Au picha ya ndege?
Je kwa shekh sharifu unapajuaJe kwa shekh sharifu
Hakuna kituo kinaitwa kwa sheikh Sharif TumbiJe kwa shekh sharifu unapajua
anazingua huyo.....baada ya shirika la elimu atueleze unakwenda kama boko mnemela au ni baada ya kuvuka hicho kiwanda cha kuku cha organiaWewe Tumbi wapi? Ninaijua Tumbi vizuri sana!! Tumbi yote ni shirika la elimu kibaha!! Au picha ya ndege?
Mimi nauza kiwanja changu kibaha picha yandege kimepimwa sq meters 690 bei ni 15M.Hospitali ya tumbi wapi? Maana karibu ya hospitali ya Tumbi lote ni eneo la shirika la elimu Kibaha.
Yaaan kama una pajua kwa shekh sharifu karibu na hapo maana sio mbali sana na eneo hilo la hospitali
Weka namba ya simu awasiliane na wenye helaKiwanja kipo karibu na hospitali ya TUMBI mita chache kutoka babara kuu ya morogoro road. Kiwanja kina ukubwa wa heka 1 BEI NI SHILINGI 4000000
Namba yangu ya cm ni 0659865639Weka namba ya simu awasiliane na wenye hela
Namba yangu ya simu ni 0659865639Weka mawasiliano.
Kiwanja kipo tumbi kwa nemera unapanda gari za kongowe unashuka tumbi unachukua bodaboda kwa zinazoenda kwa kwa nemera unamwambia akushushe kibaoni kiwanja kipo hapo kina ukubwa wa heka moja.kwa mawasiliani zaidi 0659865639Kimepimwa na mamlaka husika?