Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

zilakina

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
293
Reaction score
77
Nyumba inauzwa bunju A.Ina vyumba 4 umbali kutoka barabarani ni km moja na nusu.Bei ni 150M.Karibuni sana 0756224239
 

Attachments

  • IMG-20160816-WA0014.jpg
    IMG-20160816-WA0014.jpg
    101.1 KB · Views: 96
  • IMG-20160816-WA0008.jpg
    IMG-20160816-WA0008.jpg
    110.1 KB · Views: 86
  • IMG-20160816-WA0006.jpg
    IMG-20160816-WA0006.jpg
    81 KB · Views: 102
  • IMG-20160816-WA0013.jpg
    IMG-20160816-WA0013.jpg
    106.1 KB · Views: 87
  • IMG-20160816-WA0005.jpg
    IMG-20160816-WA0005.jpg
    99.2 KB · Views: 89
  • IMG-20160816-WA0011.jpg
    IMG-20160816-WA0011.jpg
    120.6 KB · Views: 88
Naoana pia finishing bado kwa sakafu. Ungeweka pia na picha za ndani ya nyumba si kwa nje tu. Ila kwa bei hiyo kwa miaka hii mhhhh!!! Ngoja waje wenye nazo.
 
Nyumba iko vzr ndani,finishing ni kwenye fensi tu mkuu,na bei iko resoanable kwani viwanja bunju kwa sasa havishikiki.Tena kiwanja kikubwa sana na mazingira mazuri na pia kimepimwa.Ata mwenye kuuza anauzia shida tu
Naoana pia finishing bado kwa sakafu. Ungeweka pia na picha za ndani ya nyumba si kwa nje tu. Ila kwa bei hiyo kwa miaka hii mhhhh!!! Ngoja waje wenye nazo.
 
Nyumba iko vzr ndani,finishing ni kwenye fensi tu mkuu,na bei iko resoanable kwani viwanja bunju kwa sasa havishikiki.Tena kiwanja kikubwa sana na mazingira mazuri na pia kimepimwa.Ata mwenye kuuza anauzia shida tu
Ndugu ushauri wangu kwa hali ya nchi ilivyo na inavyozidi kuendelea kuwa mshauri muuzaji kwa hao wenye 100-120M akomae awape faster maana ikifika mwakani tu kwenye January hata huyo wa kumpa 100M anaweza kukosa
 
Maofisa wa serikali waliokuwa wanaishi kama malaika wanauza mahekalu yao wanakwenda Dodoma kuishi kama mashetani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom