Khaaaa!!!50, 000/=
Nawe si unifahamishe ni kidudumtu gani hicho kinauzwa hapa??unapatikana wapi na inaingia chupa ngapi?
babu hiyo ni mashine ya kuua vijidudu hasa kwenye chupa za watoto wadogo .. unaosha ukimaliza uanziweka humo inaua vidudu inatumia umemeNawe si unifahamishe ni kidudumtu gani hicho kinauzwa hapa??
Ah basi kumbe hainihuuu.... mi nasafishaga chupa za bia tu baaaasbabu hiyo ni mashine ya kuua vijidudu hasa kwenye chupa za watoto wadogo .. unaosha ukimaliza uanziweka humo inaua vidudu inatumia umeme
sawa tuAh basi kumbe hainihuuu.... mi nasafishaga chupa za bia tu baaaas