Nauza TECNO PHANTOM 5 nipo Mwanza

Nauza TECNO PHANTOM 5 nipo Mwanza

Triple G

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
3,105
Reaction score
4,586
wakuu kwa waliopo mwanza nauza simu pendwa hapo juu!! simu ina miezi miwili tu na haijawahi kuchokonolewa ni mpya kabisa kama imetoka. dukani nauza 600k kwa watakao hitaji wasiliana nami kwa 0755303275

sababu ya kuuza nimekwama mahali na nahitaji pesa ya haraka nikaona sina jinsi niuze simu pendwa juu.

karibuni.
 
wakuu kwa waliopo mwanza nauza simu pendwa hapo juu!! simu ina miezi miwili tu na haijawahi kuchokonolewa ni mpya kabisa kama imetoka. dukani nauza 600k kwa watakao hitaji wasiliana nami kwa 0755303275

sababu ya kuuza nimekwama mahali na nahitaji pesa ya haraka nikaona sina jinsi niuze simu pendwa juu.

karibuni.
Laki6 ??????
 
Mh! Labda laki moja siunajua uchumi tena magu kabana
 
mkuu ulitaka niuze kiasi gani?
Yaani ningekwambia sasa hv uje town hapa maeneo ya CBE keeplef ya samaki niione tufanye biashara lakini bei hyo tena TECNO,no mkuu siwezi kukushusha toka mia6 mpaka mia2 unaweza dhani nimekudharau siyo vzr
 
Yaani ningekwambia sasa hv uje town hapa maeneo ya CBE keeplef ya samaki niione tufanye biashara lakini bei hyo tena TECNO,no mkuu siwezi kukushusha toka mia6 mpaka mia2 unaweza dhani nimekudharau siyo vzr
niambie utaichukua kwa sh ngapi? ni PM mkuu tufanye biashara
 
Lakini watu mna moyo, simu ya Techno ya zaidi ya laki 6, wakati kuna Samsung za chini ya hapo ni bora zaidi ya hiyo,hongereni sana.
mkuu kipendacho roho Mimi ni mpenzi mkubwa wa tecno phones..ndo maana sikusita kuichukua hiyo
 
Yaani ningekwambia sasa hv uje town hapa maeneo ya CBE keeplef ya samaki niione tufanye biashara lakini bei hyo tena TECNO,no mkuu siwezi kukushusha toka mia6 mpaka mia2 unaweza dhani nimekudharau siyo vzr
mkuu mia 2 hapana ...labda mia 500k ndo mwisho maana nilichukua 800k na imetumia miez 2 tu
 
mkuu mia 2 hapana ...labda mia 500k ndo mwisho maana nilichukua 800k na imetumia miez 2 tu
Kaka Tecno kuuziwa laki 8 ulipigwa pakubwa sana, kama tecno laki 8 iphone ziuzwe bei gani sasa?, pole lakini
 
Kaka Tecno kuuziwa laki 8 ulipigwa pakubwa sana, kama tecno laki 8 iphone ziuzwe bei gani sasa?, pole lakini
mkuu simu hii sikununua uchochoroni nimeichukua kwenye agents wa tecno phones pale opposite na STANBIC BANK Kama unapajua...na ndo zilikua zinauza hiyo bei mkuu hizo phantom 5 zilipoingia.!! au kuna tecno nyingine mkuu unaisema hii ina finger print
 
Back
Top Bottom