Mwenye kujua bei ya hiki kifaa

Mwenye kujua bei ya hiki kifaa

sanjomnyama

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2016
Posts
261
Reaction score
160
Habarini wote..!Tafadhali napenda kufahamua bei ya "Ovener" ikiwa mpya Dukani ni sh ngap?? Kwa kuwa kuna mtu anataka kuniuzia na nimeiona ni mpya haijatumika ila mwenyekufahamu bei yake ya dukani kabisa anijuze nisije nikapigwa changa la macho saiz [emoji116][emoji116]
b124dcff770bd185e932921b49fdc88b.jpg
84dd73a4542684714fd7187c8ab2af7a.jpg
 
Hiyo kama ina electrical plates tu kama inavyoonekana haizidi laki 2 from the second hand labda kama ingekua na gas burners ndio ina soko kwa sasa.
 
Laki nne mpaka tano unapata mpya.. nenda kariakoo.. ila nzuri ni zile zenye gesi na umeme
 
Hiyo kama ina electrical plates tu kama inavyoonekana haizidi laki 2 from the second hand labda kama ingekua na gas burners ndio ina soko kwa sasa.
Khaaaaaa wewe hili jiko laki mbili?????
 
yan usipoangalia utalinunua afu litakuwa kama mapambo, umeme ni noma. lingekuwa la ges ingekuwa mpango mzima, mpe 250000
 
Inatumika kutengeneza keki mikate ya mayai mikate ya kumimina n.k
 
Ovener isiyokuwa na plate za gas sio issue mkuu.
Hapo bei lazima iwe chini.
Piga ua usimpe zaidi ya 3.

Sasa hivi kanipigia sim anasema anataka nimpe laki 3 na 20 bei ya mwisho
 
Sasa hivi kanipigia sim anasema anataka nimpe laki 3 na 20 bei ya mwisho
Sikushauri otherways uwe mahali ambapo umeme sio wa kuwaza waza.

Lakini huu umeme wetu wa elfu hamsini utaenda kulifanya kabati.

Jipange mpaka 450 ukachukue lenye gesi na umeme.liko poa sana.
 
Back
Top Bottom