Wandugu,
Kuna kiwanja kipo mbezi msakuzi kinauzwa ukubwa ni 20*20 ni kiwanja kikubwa lakini mwenyewe amekikata kwa ukubwa wa 20 kwa 20
Ila ukihitaji chote utauziwa pia
Mawasiliano 0713926364...
Shamba hili limeshalimwa Tayari na sasa linakodishwa kwa wewe utarudisha gharama za maandalizi,,aliyekodi alitaka alime mazao ya mbogamboga lkn sasa amepata dharura ya fedha hivyo analikodisha kwa...
Tunauza kontena empty futi 20 ishirin hazitumika bongo zimeleta mzigo tu basi
Bei ya kila kontena ni dola 1750 $$ 1750$$$
Kwa mahitaji yako piga 0656436662
Zipo nyingi sana karibun
Piga...
Tumia bidhaa asili za Oriflame kutoka Sweden zilizotengenezwa na mitishamba...Jiunge na Oriflame pia ujiongezee kipato!kujiunga ni 9,000/=
Kama una mtaji wa laki moja hujui ufanyie nini basi...
Nyumba ya Kuishi pamoja na Kiwanja vinauzwa kwa pamoja (HATI na documents zote muhimu zipo)
KATA: MABIBO
MTAA: MATOKEO
MANISPAA: KINONDONI, DAR ES SALAAM
ENEO (MITA MRABA): 837
Bei ni 250 milioni...
HHabarini wana jf ninauza pikipiki yangu aina ya Shineray 150cc namba mpya haina tatizo lolote napatikana dar es salaam bei sh.950000/=. Mawasiliano 0718151415
Habarini za asubuhi wana JF,
Namshukuru MUNGU tumeamka salama sana, natumai nanyi hamjambo.
Kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kuniepusha na accident mbaya jana jioni maeneo ya Kawe njia ya...
AC= 950000/=, meza kubwa droo 6= 290000/=, kabati kubwa = 280000/=@1, viti viwili vya kuzunguka =230000/=@1, kuna vya staff viwili sio vya kuzunguka= 130000/=@1, vya kawaida viwili 100000@1...
Pata toleo jipya la boxers kwa sh 10000 kila moja! Free delivery kwa Dar!piga 0768643685 kupata zako!
Tunauza socks pia from Uturuki kwa sh 5000 tu pea moja!
Karibuni sana!
Routerz zeny speed safi unapewa na line ya voda 4G ya kibiashara yenye garama nafuu sana kwa kudownload 1mb utatozwa tsh 30 tu
Modem tp link bei 180,000
Moderm ya round 250,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.