Umeona wapi Galaxy S4 ikauzwa chini ya milioni 1? Nilishangaa sana nilipoona hizi galaxies zikiuzwa cheap sana mwanzo nilifikiri wanaiba ila sasa nimekuja kugundua kumbe ni za kichina ila mchina...
Karibuni ndugu jamaa na marafiki,nauza Nyumba mbili maeneo ya MBWENI Jirani na SHULE YA WATURUKI,iliyo na Fensi tayari ni 200M na hiyo ambayo haina Fensi ni 280M
Napatikana kwa 0715011022
Kuna kiwanja kinauzwa 20 kwa 20 kipo mbezi ya Kimara Makabe, ni tambarare na ni kizuri sana
Kama una wateja pliz contact
Samahani nimekosa picha lkn unaweza kuja ukakicheki kama dalali
Piga...
Wadau heshima kwenu,
Nahitaji pikipiki used aina yeyote iwe TOYO,SKYMARK nk.
Iwe kwenye hali nzuri na inafanya kazi.
Mwenye nayo na anaiuza na yupo ARUSHA anitafute kwenye namba 0752489529...
Nauza Mitsubish canter mayai, engine 4D34, cabin pana, chasis refu, study 6. Bei ni maelewano. Mawasiliano 0754269641 au kwa barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
Ninasambaza bidhaa za afya na udafi zenye sifa zifuatazo:-
CARE:-
Hii ni bidhaa maalum kwaajili ya mambo yafuatayo:-
- Inatibu kuku magonjwa mengi hasa KIDELI
- Inatibu fangasi sehemu za siri na...
Tunatengeneza motor zilizoharibika... Generator.... Pump za maji na kusuka invetor kwa gharama ya kawaida kabisa tunapatikana Kirumba Mwanza jirani na uwanja wa CCM kwa mawasiliano piga Namba +255...
Kwa kiasi cha shilingi 255,000/=
Ina miezi miwili, headphone zake kubwa, charger screen protector ya kioo kifupi ipo katika hali nzuri ni pm kwa maelezo zaidi, napatikana dsm
Habari zenu,
Tunapenda kuwajulisha watu wote kua sasa tunatoa huduma za kukusaidia kukata kujua taarifa mbalimbali za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani, meli pamoja na ndege.
Unachotakiwa...
Nauza vyombo Kama hot pot, chupa za chai,sufuria,dinnerset,tray,sahani za udongo na mfupa n.k. Kama hii chupa 15000 tu ukihitaji vyombo Aina yoyote nicheki whatsap number 0656801596 zaid nicheki...
Nauza tabket yangu ya itel it 1702 imetumika kwa mwezi mmoja tu bei laki na nusu kwa wenyeji wa kanda ya ziwa tuwasiliane kwa namba 0753868912 na nita poat specification zake baadae kidogo pamoja...
Ndugu wapendwa nipo Iringa nahitaji kununua pampu ya maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Hivyo naomba mnisaidie bei zake na nisehemu gani nitapata kwa urahisi na ni aina gani ni imara. Hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.