Habari,
Kama kuna yeyote mwenye contacts za wachimba visima kwa bei poa naomba anisaidie mawasiliano. Visima vya mashine
Natarajia kuchimba maeneo ya mwasonga kuelekea tundwi (kigamboni).
Habari wakuu, mwenzenu nahitaj kuongeza huduma ya kusafisha picha za kawaida pamoja na passportsize ktk ofis yangu,niko maeneo ya kijjn ningependa kupata walau EPSON used naweza kuipata wap na kwa...
Hdd-1Tb
RAM-4GB
Processor - 2.1Ghz
Battery life- exceptional 7 hr,(tested and proved)
Usb port - present
HDMA port - present
Microsoft office 2016 ( Office 365 )
Ni laptop mpya kabisa ya mwaka...
Price ni 20,000 delivery ni 3000 kwa Dar, mkoani ni 8000. Unalipia Cash on delivery. Ukipokea mzigo ukirizika ndo unalipia. 0759313687. Material Leather
Habari,
Nahitaji kujua gharama ya wire husika hapo juu na pia urefu na upana wa huo wire (Namaanisha zile wire za fensi zenye vibox vidogo vidogo ambavo vinazuia hata kuku kuingia).
Nawasilisha
Kutoka kwenye Blogs.......
Tecno kutoa Phantom 6 Septemba hii, itathibitisha ubora wake?
Sio suala jipya kwamba Bara la Afrika limegubikwa kwa kishindo na ulimwengu wa Smartphone (vijana wa mjini...
Habari,karibu kwenye semina ya ujasiriamali jumamosi tareh 10 september itakayofanyika msasani morocco,tafadhali fika bila kukosa njoo na wageni
0776838310 kwa maelezo zaidi
Kwa mawasilano juu ya mahitaji ya sabuni yangu nzuri na nzito yenye ubora ni PM bei nafuu na haichubui mikono,surppot yenu wakuu inahitajika ahsanteni sana
Nauza nyumba ipo Kimara mwisho nyumba imeishia linta bei 29,000,000 ina vyumba 3 kimojawapo ni master ina sebure kubwa sehemu ya chakura ,jiko ,vyoo 2 vya ndani na stoo.
Eneo lina ukubwa wa meta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.