Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji galaxy Note 4 black. Mint condition. Bajet yangu laki 5. LEO
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Habari, Kama kuna yeyote mwenye contacts za wachimba visima kwa bei poa naomba anisaidie mawasiliano. Visima vya mashine Natarajia kuchimba maeneo ya mwasonga kuelekea tundwi (kigamboni).
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, mwenzenu nahitaj kuongeza huduma ya kusafisha picha za kawaida pamoja na passportsize ktk ofis yangu,niko maeneo ya kijjn ningependa kupata walau EPSON used naweza kuipata wap na kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hdd-1Tb RAM-4GB Processor - 2.1Ghz Battery life- exceptional 7 hr,(tested and proved) Usb port - present HDMA port - present Microsoft office 2016 ( Office 365 ) Ni laptop mpya kabisa ya mwaka...
0 Reactions
4 Replies
890 Views
Price ni 20,000 delivery ni 3000 kwa Dar, mkoani ni 8000. Unalipia Cash on delivery. Ukipokea mzigo ukirizika ndo unalipia. 0759313687. Material Leather
0 Reactions
0 Replies
776 Views
No gari ambayo iko kwenye hali nzuri, imetembea 1018890, mawasiliano 0684554946
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari, Nahitaji kujua gharama ya wire husika hapo juu na pia urefu na upana wa huo wire (Namaanisha zile wire za fensi zenye vibox vidogo vidogo ambavo vinazuia hata kuku kuingia). Nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mnada mnada/Auction auction (Mwanza Mwanza Mwanza) 1-Nyumba ya kuishi nzuri sana iliyopo plot no 207 block ''JJ'' Nyakato Mwanza (Ijumaa 16.09.2016 kuanzia saa 3:00 asubuhi) 2.Nyumba ya...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
MNADA MNADA/AUCTION AUCTION (MWANZA MWANZA MWANZA) 1-NYUMBA YA KUISHI NZURI SANA ILIYOPO PLOT NO 207 BLOCK ''JJ'' NYAKATO MWANZA (IJUMAA 16.09.2016 KUANZIA SAA 3:00 ASUBUHI) 2.NYUMBA YA...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Nauza samsung galaxy tab 2 imetumika kidogo ,ipo ktk hali nzuri kabisa. Bei 250000..
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Nauza bajaji iko safi kabisa, engine haijawahi kufunguliwa bei ni 3500000. Maongez yapo . Tuwasiliane 0765876609 au 0718135480
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Kutoka kwenye Blogs....... Tecno kutoa Phantom 6 Septemba hii, itathibitisha ubora wake? Sio suala jipya kwamba Bara la Afrika limegubikwa kwa kishindo na ulimwengu wa Smartphone (vijana wa mjini...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mzigo huo hapo WA sahani ukihitaji Nicheki kwenye namba 0656801596
1 Reactions
0 Replies
639 Views
Wakuu habari za jioni Naomba msaada wa kupata hiyo game wakuu hata kama ni 2014 siyo mbaya pia natanguliza shukrani.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari,karibu kwenye semina ya ujasiriamali jumamosi tareh 10 september itakayofanyika msasani morocco,tafadhali fika bila kukosa njoo na wageni 0776838310 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Kwa mawasilano juu ya mahitaji ya sabuni yangu nzuri na nzito yenye ubora ni PM bei nafuu na haichubui mikono,surppot yenu wakuu inahitajika ahsanteni sana
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Mambo vipi nataka kujua bei ya kioo cha xperia z1
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Nauza nyumba ipo Kimara mwisho nyumba imeishia linta bei 29,000,000 ina vyumba 3 kimojawapo ni master ina sebure kubwa sehemu ya chakura ,jiko ,vyoo 2 vya ndani na stoo. Eneo lina ukubwa wa meta...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Habar za asubui. Computer inauzwa mzigo mpya una Ram 2gb, hdd 160gb, dvd writter core2duo kioo inch 17 mawasiliano picha 0713844841
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom