Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wapendwa wana JF naomba muongozo wenu.natafuta soko au wateja wa jumla wa nta na asali.nitafurahi zaidi nikipata wateja wanaoexport kwa ajili ya bei nzuri.kwa yeyote anayejua vizuri kuhusu hili...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wakuu karibuni nauza mchele super kabisa kutoka mbeya kyela,kwa bei ya tsh 2000/kg na tsh 2200/kg nakuletea popote ndani ya dar kuanzia kg 50. Napatikana msasani karibu na msaani shopping mall or...
0 Reactions
2 Replies
945 Views
Wasaalam. Ndg zangu nipo dar nimelima tikiti natarajia kuvuna kesho. Naomba mwenye ufahamu wa soko anisaidie.. Nitashukuru. Asanteni.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Gari tajwa hapo juu inauzwa, sababu za kuuza ni mabadiliko tu ya mfumo wa maisha, haina shida yeyote.. Year of manufacturing: 2002 Imported: 2012 ODO: 110,000+ chache Transmission: Manual...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
(FENICHA ZOTE ZIMESHAUZWA) Habari wana Jf Fenicha zifuatazo za ofisi zinauzwa kwa bei rahisi kabisa. Zimetumika kwa muda usiozidi miezi 8 tu 1. Meza ya kichina (imported, executive table) kubwa ya...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Kipo kibaha kwa mfipa. Ni 23x20. Bei ni milion 6. Ukihitaj ni pm.
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Wakuu, Vunja bei hapa nabwaga HTC desire eye yenye camera safi, flash mbele na nyuma , 4G Lte network na kioo kipana kwa bei pouwa sana ya 450k (pungufu unaongea) Simu ipo full na vifaa vyake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samsung s6 edge Gold Bei-800,000 FIXED
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mwenye nokia C7 ambayo ipo ktk hali nzuri na anaiuza ana PM
0 Reactions
0 Replies
563 Views
I'm giving you a free ride on the Uber app (up to TZS9,000). To accept, use code 'gerryj209ue' to sign up. Enjoy! Details: https://www.uber.com/invite/gerryj209ue
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Natafuta Soldering Machine na vifaa vyake, mchine hii ni ile inayotumiwa na mafundi simu katika kuchomelea vifaa vya umeme(angalia mfano wa picha). Mhitaji yupo Dar Iwe mpya au used(kwenye hali...
0 Reactions
4 Replies
996 Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa ina wiki tatu tangu inunuliwe, ina kila kitu chake rist ya kununulia, warrant yani ni fuul box bei ni laki 320k kwa anaehitaji pm au nipigie 0625655771 anytime tufanye...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
NI AUTOMATIC,INATUMIA PETROL,TON 1 NA NUSU,IMETEMBEA KM 150,000 VIBALI VYOTE VIKO VALID.... BEI YA KUUZA NI 9,000,000/ GARI NI NZIMA KUPITA MAELEZO KWA MAWASILIANO 0715591141 DSM...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji mkopo wa haraka wa Tsh mil 3, riba na utaratibu wa marejesho ni makubaliano yangu na mkopeshaji. Dhamana naweka gari yangu yenye usajili namba D. Napatikana Dar es Salaam. Kwa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Chumba,sebure na choo kinapangishwa maeneo ya mikocheni B .Kodi 180000 kwa mwezi. mawasiliano 0766979955
0 Reactions
5 Replies
3K Views
NImejipanga kuanzisha mwalo kwa ajili wa wachimbaji wadogowadogo wa madini ya dhahabu kwa sasa naitaji msaada wa madini ya mercury tu. Aliye na mzigo huo anipm tufanye biashara,
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza simu yangu mwenyewe Samsung Galaxy J1 kwa 190,000/= Tsh. naomba kwa mwenye kuihitaji anicheki. Simu ni original ipo poa sana.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama unauza tecno,huawei yenye sifa au zinazokarbiana au kuzidi hizi njoo tuyajenge Cpu 1.3ghz Ram 1gb Primary camera 8mp Sec camera 5mp Kuanzia rolipop au mushroom Internal 8 up to 16 Iwe nzima...
1 Reactions
10 Replies
976 Views
Nauza educational games and toys kama vile puzzles,phonic and math cards,animal toys, blocks and lego,number and letter set na vinginr vingi vya dizain hiyo vyote ni vya mtumba but vupo kwenye...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Hapo kwenye picha naitaji hilo lidude sijui linaitwaje wapi naweza kulipata Tanzania na ni bei gani? Asanteni
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Back
Top Bottom