Wapendwa wanaJF mlokuwa mkiniuliza kuhusu namna ya kupata mtambo wa sola kwa mkopo; naomba niwapatie maelezo yenye ufafanuzi wa kina hapa chini.
ANGAZA MAISHA YAKO, MILIKI MTAMBO WA SOLA...
Kwa mfugaji wa kuku wa kienyeji aliyepo songea mjini nahitaji kununua tetea 80 na jogoo 8 kwa ajili ya kuwafuga, kama unao tafadhali wasiliana nami tufanye biashara hata kama unao chini ya hao...
Mashinine mpya yenye pressure kubwa ya kuoshea magari kwa bei chee. Inatumia petrol. Inaitwa JD.Bei ni Tsh.750,000/ kubwa na ndogo, Tsh.550,000/
Kwa mawasiliano piga 0773 944 944
Wakuu mezani kwangu hapa kuna tablet (used) ni
Samsung tab2, 10.1 version
Silver in colour,
Internal storage ni 16Gb pia ina memory card ya 14Gb( utapewa free)
Inapiga na kupokea simu bado ina...
Wakuu hodi ijumaa ya leo....leo nina vifaa vya aina Tatu yaani
1. Tv chogo kampuni ya Goodmans
2. Dinner set
3. Tablet Samsung 10.1(used yenye hali nzuri bado)
_Ina piga simu(ina sehemu ya...
Habari za Leo!,
One Realtor Co. ni kampuni inayotoa huduma zinazohusiana na mali
zisizohamishika (Real Estate) Jijini Dar es Salaam na mikoa Jirani.
Tunapenda Kukutaarifu kwamba, kutokana na...
Kiwanja kipo kinyerezi mita 20 kutoka barabara ya lami inayoelekea ktk mitambo ya umeme wa gesi.
Ukubwa wake ni m40 kwa 35.
Bei Tshs mil 25 na mazungumzo yapo.
Simu 0715/0754/0783 472414
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20.
Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo.
Piga simu 0754/0715 472414
SHAMBA NA NYUMBA INAUZWA
0767 966 955
ENEO: Kimara baruti njia ya msikitini kutazamana na bahama mama petrol station
Ukubwa: eka 2
Nyumba vyumba 4 tu. anaweza ishi mlinzi vyumba 2 vinabaki...
Simu tajwa inauzwa Tshs 300,000/= tu. Iko ktk hali nzuri, 16 gb internal memory, na haina tatizo lolote. Ina screen protector ya kioo, back cover na charger. Nipo Dsm. Kama ungependa kuwa nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.