Baiskeli hii inatumika na watoto kuanzia umri wa mwaka hadi miaka minne. Wakati wakiwa wadogo wanaendeshwa na mtu mzima ila baada wanaendesha wenyewe. Bei ni 60000. Imetumika ila ipo kwenye hali...
Nyie........nahitaji chaja original ya "acer aspire 5720z".........kwa ambaye anabiashara mkononi nijibu hapa nitarudi baadae........madali acheni habari zenu.....maana kwa vya juu hamjambo...
Habari watz. samahan natafta mtu wa kuniuzia unga wa sembe na dona kwa bei ya jumla isiyozidi 21,000 kwa mfuko wa kilo 25. nanunua kuazia mifuko 10 mpaka 20. mtaji ukiongezeka nitanunua mpaka...
Habari wanajukwaa, natafuta chumba cha kupanga maeneo ya kariakoo, au upanga. Ni kwa ajili ya wanafunzi wanne wa chuo,
Kama unafahamu nafasi iliyopo wazi naomba tufahamishane humu kwenye huu uzi...
Viwanja vinapatikana kigogo fresh maeneo ya pugu karibu na kwa waziri mkuu mstaafu mizengo pinda.ukubwa ni miguu 20x20 bei milioni tatu tu.nb umeme upo.mawasiliano 0755221899
Uongozi wa (T.A.C) unawatangazia wazazi wote kuwaleta watoto wao waliomaliza darasa la saba ili kuwapatia mafunzo yatakayowaandaa kuanza elimu ya sekondari. Masomo ni miezi mitatu na yataanza...
Habari yenu wakuu!
Nimekuja mbele yenu nahitaji msaada.....
Nahitaji kupata location ya mtu hadi anapoishi kwa kutumia namba yake ya simu pia naona simu
yake iko hewani.
kama unajua software...
WanaJF,
Natafuta fundi au kampuni inayotengeneza makabati ya nguo yanayo jengewa ndani ya nyumba.
Je, unafahamu kampuni inatengeneza makabati imara?
Picha zake unaweza kuzionyesha hapa? wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.