Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za Leo!, One Realtor Co. ni kampuni inayotoa huduma zinazohusiana na mali zisizohamishika (Real Estate) Jijini Dar es Salaam na mikoa Jirani. Tunapenda Kukutaarifu kwamba, kutokana na...
1 Reactions
3 Replies
974 Views
Kiwanja kipo kinyerezi mita 20 kutoka barabara ya lami inayoelekea ktk mitambo ya umeme wa gesi. Ukubwa wake ni m40 kwa 35. Bei Tshs mil 25 na mazungumzo yapo. Simu 0715/0754/0783 472414
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20. Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo. Piga simu 0754/0715 472414
0 Reactions
9 Replies
2K Views
SHAMBA NA NYUMBA INAUZWA 0767 966 955 ENEO: Kimara baruti njia ya msikitini kutazamana na bahama mama petrol station Ukubwa: eka 2 Nyumba vyumba 4 tu. anaweza ishi mlinzi vyumba 2 vinabaki...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Viwanja vinauzwa kiluvya (vimepimwa) Bei kwa kila square mita ni 8000 Tshs Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0712252525
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Inahitajika laptop ya aina na ukubwa wowote but iwe katika hali nzuri kidogo Bei - Tsh. 200000 Kwa mawasiliano nicheki 0656801229
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Simu tajwa inauzwa Tshs 300,000/= tu. Iko ktk hali nzuri, 16 gb internal memory, na haina tatizo lolote. Ina screen protector ya kioo, back cover na charger. Nipo Dsm. Kama ungependa kuwa nayo...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Kutoka kwa lemutuz blog HIKI HAPA UNACHOHITAJI KUFAHAMU KUANZIA TECNO PHANTOM A+ MPAKA PHANTOM 6 ~ Blogu ya Wananchi Tangu uzinduzi wa toleo la kwanza kabisa la TECNO Phantom, toleo hilo limepata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau Kwa wenye migahawa & hotel, tunauza Sato waliokaangwa toka Mwanza.Samaki wetu wanakaangwa kulekule mda mfupi baada ya kuvuliwa hivyo wanabaki na radha yake ileile tofauti na hawa...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
UPDATED: Kama unahitaji Spea zozote za kumpyuta kama display za laptop size zote (10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Please follow this link ECG300G BRAND NEW ECG MACHINE. Dar es Salaam 813981 |813981 if you are intested
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Pata vitenge vya wax kutoka congo DRC piece 3 kwa TZS25,000 Tunapatikana Mbeya town,Tukuyu town place your oder at 0767142928 whatsapp/text/call:0767142928
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Original SD Memory Cards. 8gb - 12,000 16gb - 24,000 32gb - 48,000 64gb - 96,000 Mobile: 0655659115 Whatsapp: 0624132227
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Kwa gharama ya Tsh 20,000/= tu utafanyiwa yafuatayo. 1.Utatengenezewa Blog ya Blogger(blogspot) au Wordpress,Chaguo ni lako. 2.Tunakufanyia:design katika blog yako na kukuwekea muonekano wowote...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Habari nauza blackberry q10 nipe offer yako
0 Reactions
2 Replies
820 Views
K
0 Reactions
6 Replies
864 Views
Nauza shamba lipo katikati ya kiwangwa na wami ni km10 kutoka kiwangwa mjini.Lina ukubwa wa heka 50 na ninauza 1M kwa heka,nauza kuanzia heka 10 hadi heka 50.Linafaa kwa kilimo cha mahindi na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bado mpyaa nimepata dharula ivyoo naizu kwa sh 260000 fixed nilinunua Mwenge na risit ninayo kwa 300000 Ipo na kila kitu chake vingine at a Kwenye box sijawahi vitoa kama backcover na ear phone...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kichwa cha thread chahusika! Natafuta kiwanja maeneo ya Kimara, Mbezi au Goba, na maeneo yanayozunguka Salasala sio mbaya. Kiwanja kisiwe mbali sana na barabara kubwa ya lami. Bei isizidi million...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…