Naombeni msaada wadau, ununuzi wa Water pump

Naombeni msaada wadau, ununuzi wa Water pump

matobholo

Senior Member
Joined
Sep 21, 2016
Posts
106
Reaction score
100
Hbr za majukumu wadau, nina mpango wa karibuni wa kununua water pump kwa ajili ya kurahisisha Kilimo cha umwagiliaji, nalima ekari 2, chanzo cha Maji ni mto.
Mtu mmoja akanishauri nianze na water pump aina ya Zec, mwingine akanishauri ninunue King max zote za petrol.
Nilienda kuzunguka kufanya window shopping nikakuta kuna hadi honda ya petrol.
Naomba msaada wajuzi na wazoefu, ninunue waterpump ya aina gani na horse power ngapi.
Nina bajeti ya laki 6 kwa pump na mpira wake. Karibuni sana.Nashukuru kwa msaada wenu
 
Njoo pm kuna MTU anauza waterpump aina ya Honda laki NNE na mpira umetumika kidogo tu.
 
Hbr za majukumu wadau, nina mpango wa karibuni wa kununua water pump kwa ajili ya kurahisisha Kilimo cha umwagiliaji, nalima ekari 2, chanzo cha Maji ni mto.
Mtu mmoja akanishauri nianze na water pump aina ya Zec, mwingine akanishauri ninunue King max zote za petrol.
Nilienda kuzunguka kufanya window shopping nikakuta kuna hadi honda ya petrol.
Naomba msaada wajuzi na wazoefu, ninunue waterpump ya aina gani na horse power ngapi.
Nina bajeti ya laki 6 kwa pump na mpira wake. Karibuni sana.Nashukuru kwa msaada wenu
KingMax 300,000/=
Mpira Mpana (Koromeo) = na Mpira mrefu weka kaa laki 2 hivi.
Jumla 500,000/=

Tahadhari,
Kingmax sio KM ingawa zinafanana, hapo utakua uenunua Famba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom