Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Kwa yoyote anaejua mahali naweza kupata ng'ombe wa maziwa wa kisasa naomba anijuze tafadhali, mimi nipo dar Nawasilisha kwenu wadau,
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF kwa anaehitaji kreti na chupa tupu za PEPSI zinapatikana hapa Dar es Salaam, maeneo ya kimara, tuwasiliane kwa 0687825708
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Noah hiyo bado mpyaa, namba C bei 9million. Mawasiliano ni 0755155782. kwa maelewano zaidi.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Karibu ununue Toyota Brevis namba D , kwa 9.5million. Chombo kipo Vizuri kama kinavyoonekana.. Mawasiliano 0755155782 Inapatikana Dar es salaam.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukitaka sofa set imara za aina tofauti tofauti zinapatikana na hata kama unataka 1 au mawili. Bei zetu ni nafuu sana na tunatoa warrant ya mwaka na nusu na pia ukitaka mafundi wa kukarabati...
3 Reactions
8 Replies
12K Views
Habari wana Jf, Tuongeze maarifa kwa kukliki hapa visitearnings.com/?user=68049
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Habari wana Jf, ninauza photocopy machine Cannon 2202 kwa bei poa kabisa, iko vizuri kama hutakuwa na uhakika utapewa guarantee kwa maelewano zaidi tuwasiliane kupitia namba 0625550187 or...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimepata matatizo,hivyo nauza kiwanja change kilichopo Nyegezi Mwanza Kata ya Luchelele,kiwanja kina ukubwa was 15 kwa 30,na kimepimwa,nauza milioni 4,kiwanja kipo km 3 toka chuo kikuu cha Saut na...
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Samsung Galaxy J1 mini 155,000 J1ace 195,000 J2 black and Gold Tsh 300,000. J3 balck and gold Tsh 355,000. J5 black n gold Tsh 375000. J7 black n gold Tsh 489,000. A3(2016) gold Tsh...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Habari wakuu? nauza simu aina ya Iphone 7 ina 32GB rangi yake ni rose gold ni mpya kabisa haijatumika, inakuja full box napatikana kwa namba 0752639172 na 067266456. Bei ni 1,900,000TZS
1 Reactions
11 Replies
2K Views
PATA PESA CHAP CHAP HII SI YAKUKOSA KABISA Ni fulsa pekee ambayo unaweza ukapata mtonyo (pesa) pale utakapo pita kwenye link hiyo hapo chini ambayo utapata fulsa ya kutengeneza account yako na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hereni 5000 Choker 10000 Cheni 13000
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Nimepata matatizo,hivyo nauza kiwanja changu kipo Mwanza-Nyegezi kkata ya Luchelele,kiwanja kimepimwa na kina 15 kwa 30,nauza milioni 4,kiwanja kipo kilomita tatu toka chuo cha saut mwanza na km...
0 Reactions
0 Replies
654 Views
kama mnavyoiona ni mpyaaa... nimeona isikae ndani bure tu, hii BMW yangu inatosha kusumbua hapa mjini ::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::: unapata na kadi yake ipo kinondoni Dar Es Salaam...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa mawasiliano 0768825541
1 Reactions
9 Replies
2K Views
JE WEWE UNATOA HARUFU MBAYA SANA MDOMONI MWAKO AU UNAMFAHAMU MTU MWENYE MATATIZO YA MENO USISUBILI MPAKA TATIZO LIWE KUBWA FOREVER BRIGHT TOOTHGEL the best product kwaajili yameno na kuondoa...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Nauza miti ya mbao mahali ni Njombe Ludewa, miti ni ya miaka minne ipo ekari moja pamoja na ardhi yake bei ni 2M utapewa hati miliki ya kimila. kwa yeyote anayehitaji anitafute 0719495796.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
True Ink Associates would like to announce that CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 26/09/2016, Dar Es Salaam City Center, For those who...
0 Reactions
9 Replies
947 Views
naitaji sim tank 5 lita 3000 na lita 5000 mwenye bei nzuri aje pm nipo dsm
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wapendwa, Nahitaji tank la kuhifadhia maji ambalo ni "used". Liwe ni kuanzia 2000 litres na kuendelea. Nipo Dar es Salaam. Kama kuna mtu analo tafadhali naomba ani pm, please. Natanguliza...
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Back
Top Bottom