Magic mop (madekio ya kisasa) yanapatikana

Magic mop (madekio ya kisasa) yanapatikana

Jenseny

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
1,743
Reaction score
1,742
MAGIC MOP (Madekio ya ajabu)



yanapatikana kwangu kwa Shilingi 25 kwa mkopo (Kilimanjaro tu) na unatanguliza 10 elfu 20 cash zinadeki na kukausha maji mara 10 zaidi ya ile ya zamani

unaweza kuoshea vioo na kukaushia maji kwa wenye mabafu ya ndani
zinadumu kwa muda wa miaka miwili
ikiisha ile fiber(sponge ngumu inayodeki) yake unaweza kununua nyingine kwa sh 7000 tu
inaweza kudeki kwene uvungu/sehemu ambazo mikono haiwezi kufika

inaweza kudeki/kuosha vioo vya nyumba na vya magari

inakufanya usishike uchafu au uwe mbali na uchafu

inasave maji (inatumia maji machache kusafisha sehemu kubwa)

inakufanya ufanye usafi ukiwa umerelax (huinami inami)

unaweza kuitumia kama silaha/pambo

unaweza kuipunguza urefu na kuiongeza(hii ni kwa watu warefu na wafupi) iko simple
kuisafirisha pia.

ukishamaliza kuidekia inaweza kutumika kama pambo!

kwa maelezo zaidi nipigie 0658825141 au ntext watsap nkutumie video
5c6bfbb870ba7367957084273aea69ed.jpg
 
nimeandika mwanzo kabisa 20 k
 
Mtafanya watu wasioe aiseeee......... Bonge ya ubunifu
 
hiyo video mkuu iweke hapa kwanınıtena unataka kuıtuma kwa sırı na wakatı lengo ni kutangaza biashara? Mimi nipo Tanga je ninayapataje. Duka lako liko wapi
 
Unapatikana wapi? Inaweza kutumika kwenye sakafu ngumu ya cement
 
eeeh ndo kazi yake hiyo
 
nipo Magomeni nkuletee wap na ngap mkuu
 
MAGIC MOP (Madekio ya ajabu)



yanapatikana kwangu kwa Shilingi 20000 tu

zinadeki na kukausha maji mara 10 zaidi ya ile ya zamani

unaweza kuoshea vioo na kukaushia maji kwa wenye mabafu ya ndani

zinadumu kwa muda wa miaka miwili

ikiisha ile fiber(sponge ngumu inayodeki) yake unaweza kununua nyingine kwa sh 7000 tu
inaweza kudeki kwene uvungu/sehemu ambazo mikono haiwezi kufika

inaweza kudeki/kuosha vioo vya nyumba na vya magari

inakufanya usishike uchafu au uwe mbali na uchafu

inasave maji (inatumia maji machache kusafisha sehemu kubwa)

inakufanya ufanye usafi ukiwa umerelax (huinami inami)

unaweza kuitumia kama silaha/pambo

unaweza kuipunguza urefu na kuiongeza(hii ni kwa watu warefu na wafupi) iko simple
kuisafirisha pia.

ukishamaliza kuidekia inaweza kutumika kama pambo!

kwa maelezo zaidi nipigie 0658825141 kazi
0a90fe816b356dfe9a9177a0c5760a39.jpg
Inawezekana ikadeki kapeti la Kitambaa.
 
no ila inaweza kukausha maji uliyomwaga kwa bahati mbaya kwenye carpet
 
Hiyo ni modern mop sio majic haya maluga ya wenzetu yaacheni tu msiyatumie hovyohovyo
 
Hiyo ni modern mop sio majic haya maluga ya wenzetu yaacheni tu msiyatumie hovyohovyo
sio majic ni magic mop! ndo jina lake la dukani so kama kitu hukijui kaaga kimya tu
 
Back
Top Bottom