Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Viwanja vipo viwili sehemu moja (ndani ya fensi) vina nyumba za kawaida sana Karibu na kanisa la Rutheran hapo tangibovu. 1. 620sqm kwa 120milion 2. 1200 sqm kwa 220milion Call 0689315582
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza, keep me posted in case you have it tufanye business.
0 Reactions
3 Replies
786 Views
Zlizotumika za watoto wa miaka 10 kuendelea,kuanzia 30-35elfu. Nipo DSM, namba 0658327429.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nahitaji baiskeli ndogo ya mtoto. Mtoto ni miaka 3, baiskeli iwe namba 12. mwenye nayo aniPM au text 0754730813. offer: 50,000/=
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni Mpya bado, Iko katika hali nzuri sana, Bei yake ni 8.5 million .. Maongezi yapo, Kwa maswali zaidi njoo 0755155782. ipo Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Mabibi na mabwana kama heading inavyoeleza, kwa yeyote anayejua baiskeli za bei nafuu hata kama ni used zinapouzwa asisite kunijulisha. Unaweza kunijulisha kwa namba hii 0656077998, zawadi nono...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
GINCO Plus. Je unachangamoto ya kuwa na kizunguzungu, pumu, uchovu, stroke kutokua na kumbukumbu, nk? Tumia GINKGO PLUS (Inajulikana kama chakula cha fikra). Majani ya Gingko Biloba –...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau,natafuta nafasi ya jiko la kukodi kwny bar,mwny tararifa anicheki hapa au PM.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Natumai muwazima wanajukwaa, Naombeni msaada wa upatikanaji wa kuku wa kienyeji kutoka Singida ,dodoma au maeneo ya Iringa au nje kidogo ya mji wa Dar es Salaam.Nahitaji kufanya biashara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
lc.
0 Reactions
8 Replies
746 Views
Nahitaji Ram za Desktop DDR 3 za bei poa 4GB au 2GB.
0 Reactions
2 Replies
733 Views
Salaam wadau, Ninauza shamba la miti ya nguzo yenye umri wa mwaka mmoja. Heka 25, jumla ya miti 20,000. Shamba lipo Mufindi eneo linaitwa Mapanda, njia ya kuelekea bwawa la Kihansi. Shamba ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sifa za simu RAM 1GB INTERNAL 8GB CAMERA 5mpx Ina 4G Network Line mbili. But line one ni tigo tu. Simu bado iko poa kabisa. Bei 160000 Cheki me whatsapp/call 0659 505081
0 Reactions
0 Replies
2K Views
USIKOSE. Coming Soon...!
0 Reactions
0 Replies
591 Views
KUNA PAJERO MINI INAUZWA NAMBA A LAKINI BADO IKO VIZURI SANA M6 KWA MTEJA PIGA 0628353336 AU SMS 0719702658
0 Reactions
7 Replies
1K Views
NAHITAJI STARLET GLANZA HATA KAAMA NAMBA A BUT ICWE IMECHOKA SANA KWA M 3 KAMA UNAYO NCHEKI 0628353336 AU NTEXT 0719702658
1 Reactions
2 Replies
657 Views
African capital ni taasisi inayohusika ba utoaji wa mikopo kwa watumishi/wafanyakazi wa serikali TU. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Natafuta Marine board kwa ajili ya ujenzi wa Slab maeneo ya Wazo Hill. Kama kuna mtu anauza used Marine board au kukodisha kwa bei nafuu naomba anitaarifu.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo tajwa hapo juu. Iwe na vyumba 2 au 3 vya kulala, master na public toilet. Jiko stoo seble, na paking, iwe na maji. Offer ni laki 1.70 nahamia dar kikaz sasa hv...
0 Reactions
36 Replies
11K Views
Salaam..nahitaji secretary/meneja wa ofisi,ofisi ni ya uwakili na ipo Dar es salaam maeneo ya Muhimbili.Mwombaji atakua na jukumu la kutunza ofisi,kupokea wageni ,usafi wa ofisi,Kufanya...
0 Reactions
2 Replies
872 Views
Back
Top Bottom