Ninauza Samaki aina ya sato

Ninauza Samaki aina ya sato

Mimi ni muuzaji wa samki sato karibuni sana,samaki safi sio mchina ukitaka walio kaangwa nakulekebishia nitafute nikupe maelekezo ahsanteni.
Tangazo linaendelea au ndio limeisha??

Niletee kilo moja na Robo hapa Mtipindi njia panda ya Mraseni kama unaelekea Ngareni.

bei itakuwa shingapi??
 
Ok mie niko Dar maeneo ya ubungo urafiki! Kilo 10000 ,sorry sjakuelewesha
 
Katika sato wapo na wa kichina wanafugwa nakuletwa Dar. Umenipata Ndelyalukiwa sjui nimekosea jina lako samahani.boss
 
Back
Top Bottom