Nyumba inapangishwa laki 3.5 kwa mwezi,ina Geti imezungushushiwa uzio,vyumba vinne,sitting room,dining room, car parking na maji yapo ipo karibu na barabara kuu maeneo ya Airport Daressalaam!
Wadau,
Kuna hitaji la haraka sana la chumvi isiyosagwa (coarse salt) na siyo fine salt , kwa wingi sana kama tani 30 kwa wiki.
Soko lipo tayari mwenye namna naomba tuwasiliane haraka sana kwa...
INTRODUCTION
Kwa sasa hauitaji kulipia DSTV package yoyote maana Tayari wachina wameingia Chimbo na wamekuja na hizo receiver/Dongle za Sattelite Key Sharing(sks) na Internet key Sharring(IKS)...
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali hapa dar es sala. Tunatoa mikopo kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Riba ni 18% kwa mwaka. Malipo ni...
Karibuni ndugu zangu kwenye huduma za bei nafuu kabisa za Mapambo,Chakula, Keki za sherehe za aina zote, MC na Mziki. Kama una harusi, send-off, kitchen party, kipaimara, ubarikio, maafari ya aina...
Tunauza ps2 complete sets,
# cheaped console
#2 pads
#1 8gb flash disk with three games of your choice.
#1 booting memory card
all cables
Bei 150,000/=
No ya simu 0658327429
Dar es salaam...
Amani iwe kwenu. Mimi ni mzalishaji wa sembe bora. Nepeleka dar-es-salaam na Moro. Napokea oda za sembe kwa mfuko wa kilo 25. Sembe ni nzuri na nyeupe. Bei ya jumla ni tsh 26000tsh kwa kilo 25...
Habari wakuu,
Natafuta frem ya kukodisha maeneo ya ferry/kivukoni Dar es Salaam, budget yangu ni kuanzia tsh 120,000/= mpaka 180,000/= kwa mwezi, malipo kodi ya miezi 6. Mwenye nayo tuwasiliane...
Kuna aina 3 ya dawa.
1.Inakuza eneo ambalo limepotelewa na nywele kwa sababu ya kemikali au DNA cells (kuotesha upara),kwa wanaune na wanawake. kipimo ni 200mls @30000/-
2. Inakuza nywele...
Habari
Naweza kupata chumba ambacho ni Self maeneo ya Mombasa Area karibu na kiwanda cha Zainab Bottlers? Na je gharama za chumba zikoje?Wanapokea kwa mtu anaekaa kwa miezi mitatu?
Nashukuru...
Nauza harrier imetumika miezi 5 tuu Tanzania. Imekatiwa Bima Kubwa. Anaehitaji kindly inbox
Bei tsh mil 18
1.plate number DGT
2.Ya mwaka 1999
3.imetembea km 96000
4.ina CC 2200
5.ipo katika hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.