KIJANA2013
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 466
- 201
Habari Wana JF
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wataalamu wa kutengeneza Website ya Kampuni. Ni kampuni itakayohusika na mauzo ambayo wateja wataweza kulipa kwa kutumia Mobile Money System. Hivyo inatakiwa iwe na sifa zifuatavyo:-
1. Aweze kutumia API (Application Programme Interface) ambayo itaweza ku-link website na namba yangu ya simu. Preferred API ni ya TIGO.
2. Lazima itumie Search Engine Optimization (SEO)
3. Hosting. Iwe hosted kwa provider wa kulipia, sihitaji free hosting na inatakiwa kuwa masaa 24/7
NB: Hii ni website ya kampuni hivyo nahitaji A serious, experienced, knowledgable and competitive Web Designer, sio uje kujifunza kazi kwangu.
Nawasilisha
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wataalamu wa kutengeneza Website ya Kampuni. Ni kampuni itakayohusika na mauzo ambayo wateja wataweza kulipa kwa kutumia Mobile Money System. Hivyo inatakiwa iwe na sifa zifuatavyo:-
1. Aweze kutumia API (Application Programme Interface) ambayo itaweza ku-link website na namba yangu ya simu. Preferred API ni ya TIGO.
2. Lazima itumie Search Engine Optimization (SEO)
3. Hosting. Iwe hosted kwa provider wa kulipia, sihitaji free hosting na inatakiwa kuwa masaa 24/7
NB: Hii ni website ya kampuni hivyo nahitaji A serious, experienced, knowledgable and competitive Web Designer, sio uje kujifunza kazi kwangu.
Nawasilisha