Ninauza mabati(used)

Ninauza mabati(used)

bilemasome

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
48
Reaction score
9
-Mabati haya ni mazuri sana kwa kujengea mabanda ya kufugia kuku, mbuzi n.k

-bado yako imara na MTU akiyapenda anaweza akayatumia kuyaezekea nyumba yake pia.

-hayatunzi joto sana,haina haja ya kuweka ceiling board kama umeamua kuyaezekea.

- yanapatikana kwa urefu wa futi 3 kwa 3 na futi 5 kwa tatu.

-bei ni nafuu sana bati moja naliuza 3500.

- karibu sana.

Napatikana kwa 0716 345089.
 
Mkuu umeona ukiweka picha ili tuuone uzuri wa hayo mabati utapata hasara gani
 
Picha ndo hizo hapo wakuu
 

Attachments

  • 1478779350437.jpg
    1478779350437.jpg
    83.5 KB · Views: 159
  • 1478779368753.jpg
    1478779368753.jpg
    76.5 KB · Views: 173
  • 1478779382687.jpg
    1478779382687.jpg
    68.9 KB · Views: 152
  • 1478779395856.jpg
    1478779395856.jpg
    60.1 KB · Views: 146
Naomba kuongezea, quality yake si ya chuma ni Yale mabati ya south Africa grade 1 ya mwaka 2006.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom