kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,337
- 7,755
Wakuu nawasalimu,
Naomba kujuzwa tu mwenzenu maana elimu yangu ndogo,ukinunua gari zanzibar lenye plate number za kule ukifika nalo Tanganyika bandarini kuna ushuru tena?je nikilileta nikitaka kubadili plate number ziwe za bara itanigharimu nini?na je naruhusiwa kulitumia na namba hizo hizo bila adha na gharama yoyote?
Natanguliza shukurani!
Naomba kujuzwa tu mwenzenu maana elimu yangu ndogo,ukinunua gari zanzibar lenye plate number za kule ukifika nalo Tanganyika bandarini kuna ushuru tena?je nikilileta nikitaka kubadili plate number ziwe za bara itanigharimu nini?na je naruhusiwa kulitumia na namba hizo hizo bila adha na gharama yoyote?
Natanguliza shukurani!