kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.
Asalam wakuu
Binafsi naamini kuwa tatatizo la nguvu za kiume ni la kisaikolojia zaidi kuliko tunavyofikiria.
sasa hapa mtaani kwetu nilipita kwenye kijiwe cha kahawa chenye mchanganyiko wa wazee...
Hello wadau nina gari aina ya toyota surf naomba anayeuza Bampa la nyuma ya Gari na kile kikofia cha juu cha nyuma ya Gari aniuzie. ziwe kwenye hali nzuri ...nipo mwanza
Nauza kiwanja, kipo eneo linaitwa Italiani kabla haujafika Chanika, Limezungukwa na nyumba zilizoisha tayali, ni 20kwa 20. bei 3,000,000. Maelewano yapo. 0718571137, 0756528845
Ipo Goba Matosa umbali wa mita 250 kutoka Barabara ya lami,ina vyumba 3 vya kulala(kimoja master bedroom) dinning,sitting room,jiko,public toilet,Kiwanja kina ukubwa wa 30x22 bei tsh 55m.
Je unahitaji nyumba sehemu tulivu isiyo na vurugu?
A/ni isamilo nyuma ya mwenge primary school
1.ina bedrooms 3,including à Master bedroom,jiko,sebule nk
2.kila kitu kipo.... Ulinzi. Maji.umeme...
Wadau Jf, Kwa anajua masoko ya mayai Znz, nataka nijaribu kumpeleka,mimi nipo Kitunda ambako ndiko mayai karibu yanako tokea. Kwa anayejua bei anipe mwanga. Asante.
Wateja wa gesi ya oryx mwanza. Hebu ukiishiwa gesi tupigie tukuletee hadi mlangoni. Usafiri buree kabisa. Tucheki kwenye namba 0688955988 au 0754810008
wakuu nauza shamba lenye ukubwa wa Hekari moja na likiwa na baadhi ya mazao kama mikorosho, miembe, minazi na karanga, Shamba liko Manispaa ya mtwara sehemu inaitwa Naliendele shangani ni karibu...
Nauza nyumba yangu ipo mbagala zakhem ina vyumba viwili, jiko, choo na ipo na fensi ya matofali. Inaumeme pia ina nafasi ya kuongeza vyumba viwili na ipo katika hali nzuri. Gari inafika mpaka...
Wadau nataka kuanzisha mgahawa wa kisasa mkoani naombeni mnifahamishe wapi napata vifaa vya kisasa kwa ajili ya biashara hiyo hasa fast food na catering.
Habari.
jiko linalopakana na pub linapangishwa 100,000 kwa mwez.
lipo kijitonyama kisiwani karibu na shule ya secondary salma kikwete, linavitu baadhi vichache vya kuongeza. mawasiliano 0652 494919
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.