Mabibi na mabwana kama heading inavyoeleza, kwa yeyote anayejua baiskeli za bei nafuu hata kama ni used zinapouzwa asisite kunijulisha.
Unaweza kunijulisha kwa namba hii 0656077998, zawadi nono...
GINCO Plus.
Je unachangamoto ya kuwa na kizunguzungu, pumu, uchovu, stroke kutokua na kumbukumbu, nk?
Tumia GINKGO PLUS (Inajulikana kama chakula cha fikra).
Majani ya Gingko Biloba –...
Natumai muwazima wanajukwaa,
Naombeni msaada wa upatikanaji wa kuku wa kienyeji kutoka Singida ,dodoma au maeneo ya Iringa au nje kidogo ya mji wa Dar es Salaam.Nahitaji kufanya biashara ya...
Salaam wadau,
Ninauza shamba la miti ya nguzo yenye umri wa mwaka mmoja.
Heka 25, jumla ya miti 20,000.
Shamba lipo Mufindi eneo linaitwa Mapanda, njia ya kuelekea bwawa la Kihansi.
Shamba ni...
Sifa za simu
RAM 1GB
INTERNAL 8GB
CAMERA 5mpx
Ina 4G Network
Line mbili. But line one ni tigo tu.
Simu bado iko poa kabisa.
Bei 160000
Cheki me whatsapp/call
0659 505081
African capital ni taasisi inayohusika ba utoaji wa mikopo kwa watumishi/wafanyakazi wa serikali TU. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba...
Natafuta Marine board kwa ajili ya ujenzi wa Slab maeneo ya Wazo Hill. Kama kuna mtu anauza used Marine board au kukodisha kwa bei nafuu naomba anitaarifu.
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo tajwa hapo juu. Iwe na vyumba 2 au 3 vya kulala, master na public toilet. Jiko stoo seble, na paking, iwe na maji. Offer ni laki 1.70 nahamia dar kikaz sasa hv...
Salaam..nahitaji secretary/meneja wa ofisi,ofisi ni ya uwakili na ipo Dar es salaam maeneo ya Muhimbili.Mwombaji atakua na jukumu la kutunza ofisi,kupokea wageni ,usafi wa ofisi,Kufanya...
Mke wangu ni mwalimu Wa shule ya msingi na anafanyia kazi Arusha. Kama kuna mwalimu ambaye angependa abadilishane naye au kama unamfahamu mwalimu ambaye angependa kwenda kufanyia kazi Arusha...
Habari zenu wakuu (IMESHAUZWA)
Nauza air condition aina ya WESTPOINT yenye maelezo kama lebo yake inavyosomeka hapo chini pamoja na picha nyingine
Imetumika kwa muda wa miezi sita tu. Na nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.